Safari hii ni ya wote lkn pia ni kukimbushwa ya kuwa iko siku inakuja ambayo hauijui diku wala saa ,tunak7mbushwa kujiandaa na kulekebisha njia au matendo yetu,tangulia mpendwa nasi tu njiani RIP
Wala haiwapi shida cdm na wale wenye uelewa mpana lkn kwa wale ambao ni mkumbo wenye ushabiki wasiojua kutambua jambo kama ww radhma mtahangaika sana juu ya mpango mkubwa unaofanywa na serikali namna ya kutaka kukidhalilisha chama lkn sizani kama itakuwa kwakuwa watu wanajua mpango huo cuf...
Hilo liko wazi wala c vijana wa mtandaoni bali kinachosemwa kipo wazi,ni wachache sana wanaofurahi na kipindi hiki fanya uchunguzi utaona ,lbd kwa kuradhmishwa.
Siku zikifika ataondoka na kisingizio cha kumuunga mkono magufuri wala hakina maana ila ni kutafuta kujilinda siku wenye kanisa wakiamua atoke apate ulinzi ws mabavu toka kwa magufuri
Si ajabu na ww ni kati ya waliopungukiwa na uwezo wa kufikiri nn maana ya kaisari mpe kaisari na ya MINGU mpe MUNGU vyote hivyo alivitambua kristo yesu lkn pia kila serikali iliyopo MUNGU anaitambua na ndo maana kina nebukardineza aliwapiga baada ya kwenda kinyume na mapenzi yake lkn ni serikali...
Msimshangae pengo uwezo wake wa kufikiri kwa sasa ni wa mashaka kwanza kiafya lkn pia sasa na umri wa kutoka ukubwa kurudi utoto tayari c umeshamfika na kwa ss hata kumchagua papa uwezo huo ameondolewa kwakuwa maamuzi atakayoyafanya c ya timamu hivyo msishangae,waraka ule alitia saini leo...
Hivi unajua hata mwehu hujiona yu na akili kuliko wenye timamu ndo ww sasa,ni zuzu lakini unazani upo sawa.
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Ww yawezekana ni mwendawazm alilie uwaziri kuna raha ipi kwa sasa kwa hao mawaziri?au unakrupuka tu kama kondoo.
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Wapumbavu wale wasipokujibu utafanya nn?kikubwa pale ni kimyakimya ili wajifunze kitu nchi hii c yawana ccm tu bali ni yetu sote kwa hivyo mtu akikudharau basi tafuta namna ili ajue na ww c wa mchezo v wakati wakuuliza sasa.
Wala usichukie mkuu huo ndo ukweli kwa ss hakuna sababu ya kulia lia kama mbwai na iwebwai kama wangekuwa wanakaa anga ingine hapo sawa lkn mko nao?sizani kama ni muda wa kukaa kimya sasa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.