Itakua ni hila za wapinzani kupinga juhudi za serikali yetu...
Chamsingi akachukue kadi....alalapo ajifunike kwa shuka ya chakijani.....rangi ya chumba iwe ya kijani na njano
Achore picha ya jiwe mlangoni
Ataona matokeo
NB: tiba kuu ni imani
Sent using Jamii Forums mobile app
Uroho wa madaraka,,,,,,,,,,,
Wizi,,,,,,,,,,,,,,,
Tamaa mbele,,,,,,,,
Hawakutaki kwa nini ung'ang'ane,,,, ,,,,,,,
Jiwe na wenzako muandae majibu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mw/kiti .Ungewaacha huru hawa wapinzani.....kwa ugumu huu wa maisha....Wallah....chama kingekufia....mshukuru aliekupa wazo....
Mtu akikosa soko la vitunguu anakutaja ww eti ndo chanzo...
Sikuizi hata kwa buku tunapata huduma tena kwa watoto wabichiiii.....
Endelea kukaza Mw/kiti...hadi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.