Aman iwe nanyi wakuu katika jukwaa hili
MUNGU awabariki kabla hamjaanza kusoma uzi huu
Unajua hapa dunian kuna baadhi ya mambo unaweza usiamin kabisa kama kweli ni wewe au ni mwingine
Na unaweza ukabaki unajiuliza jee nimewezaje aisee
Bado siamin kabisa kama kweli toka kwaresma ianze ni siku...
Jadon Sancho
Amani iwe nanyi wakuu,
Ukweli lazima usemwe. Jana ndiyo mara yangu ya kwanza kumshudia huyu kijana kutoka kwa Queen Elizabeth ukimutizama ni kama vile mlaini kumbe jamaa ni mapafu ya mbwa.
Akiwa na mpira huuchukui kizembe. Bado ana faida moja ya mbwembwe dah mshikaji ana mbembwe...
Aman iwe nanyi wakuu
Yaan kama ulikuja Mwanza lakin hukufika Kawe kamo, Bugando na samaki bas hesabu tu wewe bado hujafika mwanza
Hata kama ulifika sijui kolomije au chato lakin kama hukufika hizo sehemu tatu na ya nne BUJORA bas hesabu bado kabisa hujafika mwanza
Ni hayo tu yaan haiwezekan...
Aman iwe nanyi wakuu,
Nimekuta hapa kijiweni kuna mzozo mkali sana vijana wakidai kuwa sheria ya uhujumu uchumi ilipitishwa na vyama vya upinzan ili kuwakomoa mafisadi akina chenge
Lakin mimi sijataka kuamini, ila nikaona isiwe kesi ngoja niibuke jamiiforum watakuwa na majibu mazuri zaidi...
Aman iwe nanyi wakuu
Naomba kuijua kura ya turufu ambayo ndo nasikia huwa ina amua nani awe rais hata kama wananchi hawaja mchagua
Je kura hiyo huwa inapigwa na nan na akina nan
Nawasilisha
BOY FROM LONDON
Sent using Jamii Forums mobile app
=======================================
Kura...
Aman iwe nanyi.
Huo ndo ukweli China aache kudanganya watu na asidhan kuwa kila mtu ni nyumbu.
China hana uwezo wa kutumia siku sita kujenga hospital. Labda ajenge hospital ya mabua.
Haya machuma chuma yake yana wadanganya mapopoma tu kuwa atatumia siku hizo.
Jana ndio kaanza lakin mpaka leo...
Amani iwe nanyi wakuu
Wakati juzi Rais Magufuli anashudia utiaji wa saini za madini alimwambia yule beberu kuwa ndugu yako alitaka kuja kuipiga Ikulu hakika angefia hapa hapa.
Sasa swali la kujiuliza je huyo ndugu wa huyo beberu ni nani?
Na alitaka aje apige nini Ikulu?
Au tu jiwe alikuwa...
Amani iwe nanyi wakuu
Naomba kutafasiliwa maana ya ndoto hii
Leo nimeota nimepanda juu kabisa mlimani
Lakini baada ya kufika juu mlimani niliona tena kuna milima mingine ya juu zaid na zaid japo nami nilikuwa juu sana kwenye mlima mwingine
Lakini nikaona ni ushenzi sana kurud chini yaani...
Amani iwe nanyi
Nawasalimu wapendwa katika bwana.
Jana nimemsikia Waziri mpya wa mazingira mara baada ya kuapishwa.
Tofauti na jinsi nilivyokuwa namjua kuwa ni mtu mwenye kujali wanyonge kumbe siyo hivyo bhana jamaa jana tu kafungua makucha na kuanza kuonesha kuwa yeye ni mtu wa namna gani...
Amani iwe nanyi wakuu.
Leo nimeota nipo kwenye tamasha la muziki natumbuiza. Baadae nikaota niko tafrija ya mziki. Baadae tena nikaota nakula chakula.
Naomba mnisaidie nini maana ya Ndoto hizi
Asanteni sana
LONDON BOY
Sent using Jamii Forums mobile app
Amani iwe nanyi wakuu
Msichana mmoja huko mjini Kahama amemuua mpenzi wake kwa kumpiga tofali moja matata sana la kichwa.
Baada ya kuzuka ugomvi wao ambao chanzo chake ni wivu wa mapenzi.
Msichana huyo wa miaka 22 alikuwa akiishi na mpenzi wake wa miaka 50.
NB: Wanawake mwaka huu...
Aman iwe nanyi wakuu
Niko napitia bible hapa lakin nimeshangaa sana
Neno la bwana limenena juu ya waarabu kuwa watakuwa wa kutanga tanga na hawata kaa kwenye nchi zao na watu wa mataifa watayaharibu mataifa yao
Hivyo bwana kawaagiza waondoke kwenye nchi zao waende kwenye mataifa ya Raha
Soma...
Aman iwe nanyi
Naomna kuuliza kenge gan mpuuz gan alileta kocha mpya wakati Boniface mkwasa akiwa anafaa kabisa na kutosha kamili gado kwenye kiti cha ukocha wa yanga
Mpuuz gan huyo anatuhujumu hapo jangwani
Mkwasa alipaswa aachiwe hii team hadi mwisho wa msimu siyo kutuletea mshenzi mshenzi...
Aman iwe nanyi wakuu
Kama kichwa cha habari kinavyosomeka hapo juu
Kuna baadhi ya nyuzi huwa sichangii kabisa aisee moja wapo ni hizo nilizozitaja hapo juu
Nyuzi za wasomi yaan huwa naishia kuchungulia tu then nasepa maana hawakawii kukuongelesha kireno
Wasomi ndo walio sababisha nikachelewa...
Aman iwe nanyi wakuu
Kuna shabiki wa simba anahojiwa na azam tv mda huu kuelekea mchezo wa simba na azam
Aisee huyu ni bingwa wa mambumbu
Ni mbumbumbu namba moja
Hakika aden lage hakukosea
LONDON BOY
Sent using Jamii Forums mobile app
Amani iwe nanyi wakuu
Dudubaya ataendelea kuwa mshindi daima na hakuna wa kumzuia milele mpaka kiama.
Haogopi na ana msimamo. Kawashinda Clouds media sasa anaelekea kuwashinda BASATA na mpaka muda huu kashampiga tatu bila January makamba
BASATA acheni upuuzi
LONDON BOY
Sent using Jamii...
Aman iwe nanyi wakuu
Kama kichwa cha habali kinavyosomeka hapo juu
Nikickek umuri wangu sasa naenda kugota 25 hivyo nahitaji mwenza wa kuwa naye maishan mwangu
Lakin siyo tu nahitaji mwenza bali nahitaji mwenza mwenye sifa ninazo zitaka mimi
Mimi huwa napenda sana hawa wadada makondakta wa...
Aman iwe nanyi wapendwa
Wakati sisi yanga tukisema asante Mungu mwokozi wetu maana wewe unatoa ukitakacho na unatoa kwa utakaye na wakati utakao
Pia tunaendelea kumwambia Mungu kuwa yeye ndo Alpha na Omega na anayestail kuabudiwa na kutukuzwa
Wenzetu simba wanasema asante sana mwanamama...
Aman iwe nanyi wakuu
Yuko wapi mtusi gentamycine mwenda kwa waganga mkubwa
Mbumbubu namba moja mtani wa yanga gentamycine popoma, an Angle
Mbona sisikii tambo zake tena ashapima pima maji akaona kina siyo chenyewe akasepa? Au bado yupo kwa waganga wake huko chake chake pemba
LONDON BOY...
Aman iwe nanyi wakuu katika jukwaa
Kama kichwa cha habali kinavyosomeka hapo juu
Kuna ngoma imeachiwa hewan huko ya nandi ya ommy dimpoz lakin ukweli tu ni kwamba goma ni kali sana video nzuri lakin nandy kahalibu sana kaimba matusi mwanzo mwisho
Kitu kingine hii ngoma ni ya ubaguz sana maana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.