Bora Tanroad Umri huo ni kwa shift in charge nilishawahi Kufanya nao kazi shift incharge kweli anatakiwa awe na Umri huo lakini officers wengine wana Umri wa kawaida tuu.
Wakuu Nilisikitishwa sana mwaka jana TRA walitoa Nafasi wakawa wanataka watu wasiozidi Umri wa Miaka 25.
Kutokana na System ya Elimu ya Bongo watu wengi wanamaliza wakiwa na miaka 24 na Kuendelea na Tatizo la ajira kufika miaka 27 hajapata kazi ni Kawaida.
So anafika miaka 27 anakua hana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.