Niliwayi kusema si kila mtu anapenda kujiajiri ila ni matokeo tu ndo usababisha watu na wasomi wanazuoni kuamu kujiajili. Ukitaka kujua hilo ebu angalia jinsi dunia ilivyo leo Wenje naye anaumia kukaa kitaa hadi inamlazimu kutumia mbinu za ziada kupata ajira. Leo anaomba nafasi ya ubunge wa...
Usiambiwe tu ukapenda nakuitikia ndio hapohapo. Fikili kwanza kwanini umeambiwa na ndipo utoe jibu la kukubali au kutolidhiana na jambo hilo. Rais wangu wewe ni mchapakazi sana na huruka hii ya uchapakazi na uadilifu ulionao umefanya hata walionyuma yako kuwa wa ndio tu. Ndo maana leo napata...
Ni umbumbumbu au uzoba ndo unasababisha kila sekita imekuwa duni sana hata bila kuelewa kanuni na sheria zinazoongoza hiyo sekta? Niko zangu Kisorya - Bunda eti leo sept 26, 2016 ndo afisa uvuvi na mtendaji wanakuja nakutoa tamko kuwa kuanzia kesho samaki wadogo wadogo hawatakiwi katika eneo la...
Ni muda sasa tangu serikali iseme itapambana na samaki wadogowadogo wanaovuliwa ziwa victoria. Katika mazoe imekuwa nijambo zito wavuvi kuacha kutumia nyavyu zisizo nakiwango. Tatizo nililoliona si kwamba wavuvi hawako tayali kutumia nyavu usika ila ni mazoea ya wavuvi na maafisa wavuvi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.