Habari wana jamvi!
Napenda kushare japo kwa ufupi story yangu naimani itatufunza na kupata Ushauri ambao hata mimi nitajifunza.
Nikiwa nina miaka 6 baba yangu alikuwa mwajiliwa wa taasisi moja na yeye mara kamoja moja sana tulikuwa tunaenda wote BANK(NMB) kutoa pesa kidogo kilicho kuwepo kwa...
Habari wana jukwaa,kwa msaada wangu na wengine pia,naomba msaada
kwa anaye kifahamu chuo hiki cha IAA,hasa kwa upande wa accomodation.Vipi hoster zao unapataje,bei yake,ni kweli maisha ya Arusha ni Expensive?,na je!vipi kweye upande wa usalama?.kwenye academic sina wasiwasi sana.Tafadhali...
Habari wapendwa nahitaji mtu aliye soma clinical medicine pale St aggrey Mbeya ngazi ya astashahada ani PM tafadhari kunajambo nahitaji kuuliza Tafadhali.Barikiwa utakaye Nisaidia
fungua hapa kisha tujadili kidogo na kupeana mawazo www.nacte.go.tz/en/update.php?id=1472283159&slug=TAARIFA-KWA-UMMA-KUHUSU-UTEUZI-WA-PILI-NA-KUONGEZWA-KWA-MUDA-WA-KUFANYA-MAOMBI-KATIKA-KOZI-ZA-CHETI-NA-DIPLOMA-KWA-MWAKA-WA-MASOMO-2016/2017
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.