Nakubaliana na wewe.kwa taarifa zinazotakiwa wala hazihitaji utaalam na ujuzi mkubwa ambao eti wajumbe wa mashina washindwe kukusanya izo taarifa.
Gharama imetumika kubwa bila sababu. Wala hili zoezi lisingechukua hata siku3 lingeisha.
Hii hesabu ya jengo ni kwa mkoa gani? Nadhani maelezo yako hayakutakiwa uweke na hiyo gharama, kwani hiyo inabadirika kutengemeana na sehem. Pia na maamuzi
Subiri nawewe ufe uone watakaokulilia ni wangapi. Watu wengine mmejawa na husda. Yaani kitendo cha Marehem kupendwa tayari unakuwa hasidi. Sasa subiri nawewe ufe utazunguushwa kijijini kwenu uone kata watu watalia hata
Toa maoni yako. Sasa ukishakuwa Kima ndio unakuwaje kwa mfano. Watu wenye makengeza ya akili utawajua tu. Kabudi ndiye alisimamia mabadiriko ya mikataba ya madini ambayo awali tuliliibiwa kama taifa. Na mengine
TRA wangekuwa wanaweza kuelewa uhalisia Basi ningewashauri waachane na hivyo vimashine. Toka vianzishwe zimepelekea kwa asilimia nyingi kuyumbisha biashara. Muuzaji akisema kiukweli kabisa kabisa akitumie Kama TRA walivyomeza Basi hiyo Kodi yake hawezi kuilipa na akiilipa Basi ujue amechota hadi...
Vumilia tu kwa muda ndugu. Walaumu Sana Hawa wapuuzi wanaotumia mitandao kuhamasisha mambo ya hovyo ya uvunjifu wa AMANI. Amani ikivunjwa kupitia uhamasisho wa hiyo mitandao si kwamba tu mauzo yako yataongezeka au kupungua bali yatapotea kabisa na kupoteza kila kitu. Kwahiyo kuwa na subira...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.