Search results

  1. M

    Mfumo Unaotumika Kwenye Sensa ni Uharibifu wa Fedha na Hauna Ufanisi

    Nakubaliana na wewe.kwa taarifa zinazotakiwa wala hazihitaji utaalam na ujuzi mkubwa ambao eti wajumbe wa mashina washindwe kukusanya izo taarifa. Gharama imetumika kubwa bila sababu. Wala hili zoezi lisingechukua hata siku3 lingeisha.
  2. M

    Morogoro: Shule ya Wasichana ya At-Taanun Islamic inawaka moto usiku huu

    Tunaomba mwendelezo wa taarifa kuhusu hali za wanafunzi je wapo Salama?
  3. M

    Mtaji wa kuanzisha mashine ya kusaga na kukoboa unaweza kuwa kiasi gani?

    Hii hesabu ya jengo ni kwa mkoa gani? Nadhani maelezo yako hayakutakiwa uweke na hiyo gharama, kwani hiyo inabadirika kutengemeana na sehem. Pia na maamuzi
  4. M

    Update: Rais Magufuli atazikwa Machi 26, 2021

    Subiri nawewe ufe uone watakaokulilia ni wangapi. Watu wengine mmejawa na husda. Yaani kitendo cha Marehem kupendwa tayari unakuwa hasidi. Sasa subiri nawewe ufe utazunguushwa kijijini kwenu uone kata watu watalia hata
  5. M

    Lema: Narudi Tanzania

    Alikuwa amevuta cha Arusha. Anataka maridhiano kwenye nini, au anataka ajiunge na akina mdee[emoji16][emoji16]
  6. M

    Godbless Lema: Makamu wa Rais ni Rais mtarajiwa, CCM amueni kwa busara

    Umakini ule ule mliotumia Nyumbu kumuweka Salum Mwalim kuwa mgombea mwenza[emoji23][emoji23][emoji23]
  7. M

    Godbless Lema: Makamu wa Rais ni Rais mtarajiwa, CCM amueni kwa busara

    Kwahiyo cdm hawautaki tena urais ili mabeberu wapate kuchota mali zetu
  8. M

    Baada ya Kifo cha Rais Magufuli: Nani anafaa kuwa Makamu wa Rais Tanzania?

    Toa maoni yako. Sasa ukishakuwa Kima ndio unakuwaje kwa mfano. Watu wenye makengeza ya akili utawajua tu. Kabudi ndiye alisimamia mabadiriko ya mikataba ya madini ambayo awali tuliliibiwa kama taifa. Na mengine
  9. M

    Baada ya Kifo cha Rais Magufuli: Nani anafaa kuwa Makamu wa Rais Tanzania?

    Utakuwa mumiyani ndio maana humpendi. Au huna uelewa sahihi juu yake
  10. M

    Baada ya Kifo cha Rais Magufuli: Nani anafaa kuwa Makamu wa Rais Tanzania?

    Nakubaliana kabisa na wewe. Huyo ndiye mtu sahihi kwa nafasi hiyo.
  11. M

    Baada ya Kifo cha Rais Magufuli: Nani anafaa kuwa Makamu wa Rais Tanzania?

    Maoni yangu Kabudi anafaa sana
  12. M

    Nimemsikia Rais Magufuli akiwaambia walinzi wake "Msiwazuie watu wake, watu wake waacheni waje"

    Ila mada zingine bana. Sasa hii itakusaidia nini. Dili na mambo yenye tija,
  13. M

    Mpango wowote wa TRA kukamata wasiodai risiti hautofanikiwa hadi pale Wamachinga watakapoondolewa

    TRA wangekuwa wanaweza kuelewa uhalisia Basi ningewashauri waachane na hivyo vimashine. Toka vianzishwe zimepelekea kwa asilimia nyingi kuyumbisha biashara. Muuzaji akisema kiukweli kabisa kabisa akitumie Kama TRA walivyomeza Basi hiyo Kodi yake hawezi kuilipa na akiilipa Basi ujue amechota hadi...
  14. M

    Akili mukichwa: Wengine wakimbia nchi wengine wakimbilia Bungeni Dodoma

    Kila mmoja amekimbilia penye maslahi naye. Ila Hawa wa Dom ni Bora mara 500 kuliko yule mpuuzi Kibaraka
  15. M

    Polisi wavamia Ofisi za ACT-Wazalendo Vingunguti alizokuwepo Zitto Kabwe

    Primitive ni wewe jomba, unayedhani demokrasia ni mpaka wewe ndiye utangazwe mshindi.
  16. M

    LHRC yawataka TCRA na Makampuni ya Mawasiliano kutoa ufafanuzi kuhusu hali ya kukatika kwa mtandao nchini

    Vumilia tu kwa muda ndugu. Walaumu Sana Hawa wapuuzi wanaotumia mitandao kuhamasisha mambo ya hovyo ya uvunjifu wa AMANI. Amani ikivunjwa kupitia uhamasisho wa hiyo mitandao si kwamba tu mauzo yako yataongezeka au kupungua bali yatapotea kabisa na kupoteza kila kitu. Kwahiyo kuwa na subira...
  17. M

    Uchaguzi 2020 CHADEMA na ACT-Wazalendo kufanya maandamano ya amani Nov 2, 2020 kupinga kuvurugwa kwa Uchaguzi Mkuu

    Wewe utakuwa juha si bure. Unapinga kwani ulipiga kura? Acha uzembwete
Back
Top Bottom