Yaani ulianzaje kuchat na demu ambaye unajua rafiki yako yuko interested!? Kama ni mimi urafiki unakufa hapo hapo. I thought hayo mambo wanafanya wanawake tu!
Sent from my BlackBerry
Mi naona tatizo ni hizo waterguards, inawezekana ni feki....maana siku hizi bwana feki zimetapakaa....jaribu kununua kwenye big pharmacies (zile zenye hadhi ya kuprotect)
Sent from my BlackBerry
Wadada siku hizi! kila mtu CS ..... Wengi wanaponzwa na swagga za BIG NAMES (hospitals) ukiwauliza advantages za CS hawajui hata moja! BANDWAGON!
Sent from my BlackBerry using JamiiForums
Ndo tatizo la watoto wa chuo, mkifika chuo tu mnajiona watu wazima na kukurupukia mambo, alitakiwa afikirie hayo yote kabla ya kubeba hiyo mimba. Akiamua kuitoa kuna matatu, Moja ni kifo, mbili ni ugumba baadae tatu anaweza kubahatika kuepuka hayo mawili hapo juu japo there's a very slim chance...
Si tunawaiga kina maria clara, marichuy, ruby.....nikiona mwanamke amevaa vibaya huwa sijisikii vizuri yaani mimi ndo naonaga aibu! Kuiga kubaya!
Sent from my BlackBerry using JamiiForums
Wanawake tuna tabu.....I know a guy alikuwa na baby wake wanapendana kweli but alimbwaga ghafla and in less than a week akatangaza ndoa na kitu kipya! I was very disappointed though ni cousin wangu...kwa nini umpotezee mtu muda wake? Kama unaona sio wife material mwache aende zake akabahatike...
Kha! Kama nauli tu ya kumleta dada wa watu mjini imemshinda ndo angeweza kumlisha!?....au ndo ubahili! Ila huyo dada nae hafai!
Sent from my BlackBerry using JamiiForums
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.