Makonda tuombe radhi tafadhali...! Hii kauli haijakaa vizuri ukiwa kama kiongozi ni udhalilishaji husio na msamaa wa kuombewa radhi na Bashiru.Umetuaribia siku kwa kweli
Nimeeasiliana na dktari usiku huu anasema ni matatizo ya ugonjwa wa uzazi na hii hali itakwenda itakuja mwacha sasa nimeshindwa kumwelewa ndio maana naomba msaada wa mawazo kwani mpaka muda huu bado mke wangu yupo icu
Mada tajwa hapo juu,naomba msaada kwa walio na ujuzi kwa hili..!Mke wangu amepasukiwa na chupa ya uzazi na mtoto kufariki naye hali yake si nzuri kuanzia ijumaa ya 10/8/2018.Jana jumatatu ameanza kutambua watu,jumanne ya leo hali yake kuanzia asubuhi ni kuongea vitu bila mpangilio (kubwabwaja)...
Solution; angalia vizuri hiyo top cover hasa hapo panapovujisha oil.Dhibiti kwa gundi (Arladite).Kama bado panapuliza oil..,basi badirisha hiyo top cover.
Oil pump ndio yenye jukumu la kuhakikisha oil inafika sehemu zote za engine kulingana na mfumo wake.Sasa unapozungumzia Oil pump,ni Chombo ambacho kinakimbiza kwa nguvu mafuta (oil).Kutokana na nguvu ya oil kutafuta eneo husika panapopatikana mpenyo(leakage) lazima oil ipitie hapo.
Msaada wa kiufundi unategemea na maelezo ya tatizo.Mada husika haijakidhi maelezo.Mfano anasema kwenye "mirija ya clynderhead" Sasa hapo utaelewa nn kiufundi!! Lkn baada ya kuzoom picha nimegundua kwenye cylinder head cover ndio penye tatzo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.