Kipindi kile miaka 2004 kwenda mbele msanii maarufu kwa jina Lil Wayne alijozelea umaarufu na swaga zake za kushika muda wote kikombe chekundu ambacho watu wengi walitaka kujua anaburudika na nini?
Upande wa Marekani kuliibuka tabia ya vijana wengi kutumia dawa maalumu ya kifua kwa jina moja...
Wanaijeria wengi wana akili zinafanana wanapo fanikiwa kupata pesa za udanganyifu kwa njia ya mtandao ujikuta kutamba kwenye mitandao ya kijamii, kuonesha magari, pesa, nyumba,matumizi na n.k.
Huku wengi wakijigamba kama influencer, watafutaji wasiochoka.
Huko nijeria wanakamatwa kama kuku...
Dar es Salaam. Taasisi ya Tiba ya Mifupa, Upasuaji wa Ubongo na Mishipa ya Fahamu (MOI) imekiri kupokea majeruhi wa ajali za bodaboda wastani wa watu 9 hadi 10 kwa siku ambapo ni sawa na 70 kwa wiki na 280 kwa mwezi.
Akizungumza leo jijini Dar es Salaam kwenye mafunzo ya kimataifa ya matumizi...
Miaka ya 90 kurudi nyuma kulikuwa na wizi wa kichekesho sana hujawahi kurudiwa tena. Kipindi cha nyuma mambo ya vyoo vya ndani yalikuwa sio kila mtu na vyumba vya uwani kuzungushiwa ukuta.
Sasa kile kipindi unatoka nje kwenda haja ndio mwizi hupata nafasi kuingia kuiba. Na kuna mtindo mwengine...
Marehemu Augustino mrema kipindi yupo wizara ya mambo ya ndani 1990-1994. Watu walikiona cha moto ijalishi ni nani mpaka kufikia majambazi wengi kujisalimisha.
Kuna mambo mengi wizara ya mambo ya ndani kaweka mchango mkubwa sana japo historia ijapata kuandikwa kwa mema aliyofanya. Na mwisho wa...
Kale katoto kike kipindi cha ITV kalitamba sana huku mwenzake Eddy wa watoto show kama mtangazaji mdogo kila mtu alijua mtu na ndugu yake.
Huyu mtoto aliimba nyimbo" tanzania yangu wee ,nchi yangu wee"
Huku watoto wa kizungu wakiitikia kwa makini.
Kwa enzi zile za 90 kapo nje.
Kuna wengine na...
Kitu nilichojifunza japo sipo huko ni kwa waliokuwa na mahusiano au wapenzi wakiwa kwenye uchumba au sio uchumba.
Wengi wao wameweka Bima ,nipige tafu na hisa.unajua kwa nini nimetaja hayo maneno na kwa nini nimetumia.
Sababu ni ;
*BIMA
Kwenye uchumba wengi wamejiakikishia kuwa na asilimia 100...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.