Wanaohama desemba mchakato umesimama hakuna barua ya uhamisho inayosainiwa kwa sasa kwa taarfa nilizozipata punde uenda ikawa septemba mana mkuu WS kaya anakabdhiwa ripot ya watumish hewa ijumaa hii labda uenda akaruhsu mambo yaendelee ,lkn inavuruga akilibsana hadi nimepata msongo wa mawaz
Aisee yani hawa jamaa wangejua jinsi tunaosubiria uhamisho hatuna munkar na kaz tens basi wangetoa uhamisho mana me hapa had I nimeshaathrka kisaikolojia
Wadau naomba mnisaidie eti tamisemi wamesitisha uhamisho mfano wa kubadilishana hadi uhakik wa watumshi hewa ukamilike au bado uko palepale,mwenye taarfa anisaidie mana hapa nimeshaathirika kisaikolojia mana hata kazi nafanya tu kwasababu napata mshaara lkn sins mnkari na kazi kabisa kwani fikra...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.