Nianze tu kwa kusema sijui ni kwanini na ni nini katika maisha yangu toka nikiwa mdogo.
Nimekuwa na tabia ya kuota nafanya kitu flan na itapita miaka kama mitano hivi au zaidi nakutana na kile kitu nilichoota siku za nyuma na ninakumbuka kama nishaota hili tukio.
Kwa mfano, nishawahi kuota...
Duh niliwahi kuishi nyumba moja na linex duh balaa jamaa mibangi sana nakumbuka mpk mwenye nyumba alimwendea serikali ya mtaa jamaa anadaiwa kodi na ahame
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.