Hii kesi imeisha isha na Wamalawi baada ya kutolewa vielelezo na mchanganuo wa kisheria ndipo walipokacha kikao cha Dar. Soma article ya Hamza Johari akimjibu advocate Fatma Karume ambae alikuwa na mawazo kama yako 'Is Anglo-German Treaty of 1890 on the Border delimination between Malawi and...
wote mnaochangia either hamkumsikia Gerald au tayari mna maamuzi vichwani hata kabla ya hoja AU NI MAGAMBA1nilitegemea tumpongeze Gerald kwa kufananinisha bunge letu na big brother!moja na mambo aliyosema ni kuwashangaa wabunge kumtunza mwenzao hela wakati anaongea utumbo!ki ukweli Gerald...
Yaani umeelezea kama vile mwanasheria kumbe bogas tu!Vitabu gani vya sheria umefundishwa kuwa ubora wa mwanasheria unasaidia kupata dhamana katika murder case??????????????????????????????????
Una point sana mkuu hata mie huwa najiuliza ni kipi CCM wamefanya kwa nguvu yao?binafsi nikiwa shule nimetumika kusomba matofali ya kujenga uwanja wa Ali Hassan Mwinyi Tabora ambapo kila shule ilikuwa na ratiba ya kupeleka wanafunzi kusaidia mafundi, surprising leo huo ni uwanja wa CCM!!!???!
Hii inatuhusu vp?Nilitamani kupita tu ila nalazimika kuwaomba wakuu kutochangia huu uzi,jamaa anatafuata rank tu hapa!Please tuipotezeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!
Kweli mkubwa ndevu na wala sio akili!wewe hukumsikia akiongea kiswahili wakati wa kukabidhi?!?sio ajabu katika post 222 una like 21 tu! hebu jaribu kuruhusu ubongo wako utumie angalau akili kidogo ulionayo acha na hizo ndevu hata mataaira wanazo:heh:
Ukiwataja watu wenye ukwasi RPC mstaafu Alfred Gewe mtoe kabisa jamaa ni muadilifu na anaishi maisha ya kawaida sana hapo Tabata Kimanga,hajawahi kuwa fisadi kama great thinkers vema tukawa tunafanya utafiti kabla ya kuchafua watu
Mpumbafu huyo msomali!Simba kama timu haina itikadi na hasitake kuharibu mshikamano uliopo,kama anazipenda sana rangi za magamba ahamie jagwani. All in All Mnyama hureeeeeee!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.