Sasa US kama walishindwa kumkamata ama kumuua kipindi kile wamekuja kufanya operations pamoja na majeshi ya Uganda wanataka nini tena ni wakati sahihi wa wao kukubali kuwa wamemshindwa mwamba joseph kony
Hiyo inatokeaga hata mimi niliwai shikwa na mmoja mpaka nikajishangaa ni mimi kweli na nilipelekwa puta vibaya sana mpaka baadae nikaamua yaishe tu iliniuma sana ila nikasahau mdogo mdogo tu
Mkuu vuta pumzi ndani acha ipite hiyo hayo mambo yanauma sana sana asikwambie mtu ila endelea na mishe zako jichanganye na watu usimtafute kabisa mda sio mrefu utarudi normal tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.