TCU kwa sasa hawachagui wanafunzi,vyuo ndo vinachagua vyenyewe na kuyapeleka TCU, ndipo TCU wanaangalia waliochaguliwa na vyuo husika wanavigezo vya kusoma elimu ya juu pia na kuangalia waliochaguliwa vyuo zaidi ya kimoja Ku confirm kimoja na baada ya apo wanaruhusu maombi tena kwa ambao...
system yao kiukweli inasumbua nikilog in naambiwa kati ya username na password kuna kimoja kinakosewa yani nashindwa kuelewa kabsa na uku ndo kila siku natumia
Naombeni nisaidiwe tofauti kati ya izi degree programme
Bachelor of industrial engineering ya udsm na bachelor of industrial engineering management ya Mzumbe ili niweze kumsaidia mdogo wangu kwa sababu mimi nimeshindwa kumpatia majibu aliponiuliza kuhusu ipi inauwanda mkubwa wa kuajiriwa au...
Kwanza naipongeza serikali kwa hatua ilizochukua kuhusu kupunguza gharama za maombi kwa vyuo vyake kwa waombaji wanaotarajia kujiunga na elimu ya juu kwa mwaka 2017/18.
Ombi langu kwa serikali ni kuiomba itoe tamko kwa umma na kwa vyuo husika kurudisha pesa kwa waombaji walio omba kabla ya...
Natumaini mu wazima.Naomba aliye kwisha pata joining instruction letter ya Vudoi secondary kwa kidato cha tano kwa mwaka wa masomo 2017/18. Anitumie kupitia e-mail hii abu.eli6@yahoo.com
Natanguliza shukrani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.