Umetumwa? Presidaa mstaaf mwenyewe ameandika hadi kitabu kuelezea prons/cons akiwa raisi,sembuse Mh.Jaji anatoa maoni ya moyoni aliokumbana nayo kipindi chake,una bwabwaja credibity! Huna hoja
Upo sawa,lkn Gvt yaeza tumia hata mgambo wake pia kwa maeneo hatarishi kama hayo,kuimarisha secururity,utakumbuka maeneo ya town askar polc wanapita na silaha maeneo mbalimbali kuanzia tme za saa 22 jioni,sasa huko pembezoni kungepewa kipaumbele pia,maana ndipo wahalifu wengi wamapokimbilia...
Tunaomba serikali kupitia wizara yake ya mambo ya ndani,kuimarisha doria eneo la chuo hiki kilichopo Gongo la Mboto Dar,wanafunz wamekua wakijeruhiwa ovyo na wanaoitwa vibaka na kuibiwa vitu vyao,na tunaona Jumapil jion bint mdogo H.Mgaya mwanafunzi ameuawa eneo la getini maskini bila msaada...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.