mtoa mada hivi mbona hujaeleweka hoja hasa ni nini unayotaka kutuambia sisi wananchi maana hoja yako imeonyesha jinsi unaposema wasifu wa ofisi zilipo na si hoja ya habari za kifacebook.
Unapotaka kusema kitu kwanza jenga hoja kisha leta watu wajadili, yaelekea bado unamhemko wa pombe...
Nakubaliana na wewe Jean Philipe Beyun, huyu jamaa kaonyesha udhaifu wa hali ya juu, yaani anamtoa dada yake kuingia katika shimo la moto, je ana uhakika gani wa usalama wa huyo bosi, ninavyojua huyo bosi hatotaka kutumia kinga na baada ya hapo atamtosa na kumsema vibaya.
Namshauri huyo dada...
NA MARY VICTOR
MBUNGE wa Maswa Magharibi (Chadema), John Shibuda, amekanusha madai ya kukihama chama hicho na kujigamba kwamba yeye ni sawa na Nyambizi ya kisiasa isiyozama.
Akizungumza na Raia Tanzania katika mahojiano kwa njia ya simu jana, Shibuda alisema tangu juzi amekuwa akipokea simu...
Mkuu samahani lakini wakati unaandika hii kitu ulikuwa unakimbizwa mbona umeunganisha maneno kama mntoto anayejifunza kuandika?
Ebu jaribu kutuliza akili kwanza kabla ya kuanza kuweka mawazo hapa.
Taarifa niliipata kiintelejensia ni kuwa namba za TxxxCCM zilipoingia wadau wa CCM wamezihifadhi kwa ajili ya usajili wa magari yao mapya wanayotarajia kuyaingiza kwa shughuli za chama na chaguzi zinazokuja
hivi jamani kuna mtu ambaye hajui katika makamanda wengi hata wale waliostaafu wa jeshi hili la polisi walilidhishwa tabia ya ujambazi na yule BABA yao OMAR MAHITA Ngunguli kwa hiyo hata iweje ni lazima watete ujambazi hasa katika kipindi hiki cha wao kujiandaa kustaafu, majuzi tumesikia kontena...
Alichosema chaArusha ni kweli hawa ni watu wawili tofauti japo majina yanafanana, isitoshe katika New Habari kuna mtu mwigine anaitwa Chrisostom Rweyemamu je na yeye mtasema ni ndugu? Jibu ni wazi kuwa si ndugu japo wapo kwenye fani moja.
Muhingo taaluma yake ni mwalimu wa sekondari hivyo...
nimefurahi sana kuona kanisa linawekeza katika elimu tena kwa maendeleo ya vijana hapo hakuna kubagua lakini ngoja mpuuzi mmoja anaitwa malaria sugu aje kuchafua hali ya hewa twamsubiri kwa hamu ms
HIVI KIKWETE KWELI ATAONA AIBU WAKATI YEYE DHAMIRA YAKE YA KUWA RAIS IMESHATIMIA? HAPA ATATUPELEKA MPAKA 2015 kisha atakuja mwingine ambaye atujui atatupeleka wapi sababu HAKUNA MTU WOTE WANAFIKRA KAMA ZA HUYU TU
RWANDA hiyo hiyo majuzi wamegundua gesi katika ziwa Kivu yule waziri wao mwanamama kasema wanataka kutengeneza umeme kutokana na gesi hiyo sisi huku watu wanapongezana kwa kurudishana madarakani kwa sababu tu wakati alipokuweo walikuwa wanapata milioni moja moja, huku TAIFA likiangamia gizani...
Hivi wakati mdau wa shirika la ndege la precionAIr anataka kuifanya marekebisho ya utendaji ATC tulimkatalia lakini wazo lake hilo leo hii shirika lake limepiga hatua kubwa kweli na majuzi tu kaanzisha safari ya Afrika Kusini, hivi ATC kama shirika la umma lilishindwa nini kuchukua mapendekezo...
JAMANi HIVi sisi tunashindwa nini, yaani kila nchi tuliyoisaidia kujikomboa zinapiga hatua lakini sisi tunabaki pale pale na si ajabu tunashuka zaidi. Tatizo ni kwamba viongozi wetu wamezidi kuwa vilaza na uchowo wa nafsi zao na familia zao. Nchi iliyokuwa na ndege kumi leo hii hata moja hakuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.