Habari wakubwa zangu,
Nimewaletea stationary ya kibabe zaidi ambayo inatoa huduma kwa bei nafuu kabisa sawa na bure.
Tunatoa huduma zote za secretarial services kama vile printing, typing, binding lamination, copies na tunatengeneza business card.
Pia tunasambaza [supply] files, rim papers, pen...
Salamu wakuu,
Mimi ni mkulima wa mahindi, nina tani 34 za mahindi na napatikana dar es salaam.
Kilo nauza kwa sh.650.
Napatikana dar es salaam. Ukihitaji ni pm tumalize biashara.
Karibuni wakuu
I need serious buyers
Wakuu salamu ziwafikie popote mlipo.
Kijana wenu nina shida sana ya topic ya kiuchumi ambayo data zake zipo tayari ili niifanyie dissertation..
Nataka yenye data kabisa na mahali nitakapo pata hizo data kwa maana sisi hatuna mda wa kuzunguka kukusanya data. Ni tunafanya dissertation huku...
Mimi ni mwanafunzi wa chuo cha ardhi.
Natafuta chumba maeneo ya sinza mitaa ya tcu au hata kivulini, catalunya au lufungila..
Kiwe cha tiles na kikubwa
Bajeti yangu 100k
Hata kama nyumba maeneo hayo inapangishwa nikapata room ya laki ndani ya hiyo nyumba ni fair pia.
Napenda kuwasilisha
Haya sasa...
Wale wapenzi wa ligi bora duniani,
Ligi yenye miamba mikubwa ya soka duniani Fc Barcelona, Real madrid na Sevila..
Ligi yenye wachezaji bora kabisa kuwahi kutokea duniani CR7 na La pulga Messi....
Karibuni katika uzi huu tufanye tathmini ya ligi yetu pendwa kwa msimu huu wa...
ECONOMISTS wenzangu wa jukwaa letu pendwa la kiuchumi.
Habari zenu wakuu !
CBA ndio uchumi wenyewe..
Naomba tushirikiane kwa wale wenye ujuzi zaidi jinsi ya kufanya cost and benefit analysis katika projects mbalimbali na mifano zaidi...
Hii ni kwa ajili ya kuwa na wanauchumi imara Tanzania...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.