1. Inahitaji mtu kuwa mwenda wazimu kuinga mkono Israel kwa lolote hapa ilipo kwenye hii vita.
2. Hivi Gaza wanaiishikilia yote inahitaji bado kutumia mabomu, ndege, drone au mizinga? Si waombe ushauri hata kutoka kwa kina muliro?
1. Labda Ilikuwa na maana ya FaizaFoxy?
2. Tofautisha sisi wengine wengi tu tunaopigania haki bila kujali ni Ukraine, Sahara Magharibi, tukipinga ukoloni na utumwa na wenye dini zao.
3. Kuwashupalia Johnny Sack na sisi wengine kuwa wafia dini kama wewe ni umbumbu uliopitiliza.
4. Nikukumbushe...
Ningali namsubiri mwongozo wako kuhusu haya mavalio tunayoyaheshimu sana ndugu. Nduguyo Yoda anaonekana kutokukusikia ukiyaita vinginevyo.
Unaweza kuthubutu kutamka kwa sauti tena kama wewe ni kidume kweli kweli?
1. Hilo kamwulize yeye.
2. Nimekuwa nikimwona akibagaza ya wengine kuwa ni Madera wewe hujawahi kuliona hilo?
3. Ni kwa kuliona hilo ndiyo maana nilimletea hivyo picha kuupata mwongozo wake au wa awaye yote ambaye amekuwa akiona na akabqkia kimya labda kama wewe pia.
Au nasema uongo ndugu...
Ninatambua hivyo na kuyaheshimu mno. Ila hujawahi kumsikia nduguyo MK254 akibagaza mavalio ya wengine? Uliwahi kumkumbusha hilo hata mara moja? Au ni pale yanapotuhusu tu?
1. Wapi umeona nikibagaza nguo za watu hata kama mimi hazinihusu?
2. Au wapi umeona nikijinasibu popote na dini yoyote Ile?
Angalizo: miye siyo mfia dini mwenzenu zenu ziwe uislamu, ukristo, ubaniani, uhindu, ubudha, upagani nk.
BTW: Vipi vile vi drone vyetu vya watoto lini mwarusha tena?
Kwa hakika imekuwa ni kinyonge sana! Bora angerusha hata jiwe Kwa manati:
MK254 umeona nduguzo migambo wanarukaruka na kukanyagana huku?
Ama kweli vita si lele mama
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.