Habari wapendwa
Binafsi nataman sana ku-adopt watoto kutoka vituo vya watoto yatima (wenye mazingira magumu) ilikuwa ni tamaa yangu tangu nilipojitambua.
Nataman niadopt watoto wadogo kabisa chini ya mwaka ili wakikua wajue mimi ndie mama yao. Natamani niwape malezi na mapenzi kama watoto...
Habarini wapenda,
Binafsi nafurahi sana kuwa mahali hapa najifunza mnooo.
Ila nilikuwa nina ombi. Mtu anapoleta uzi kutaka ushauri au msaada. Tujifunze kuwa na utu kuwaelekeza watu bila kuwatukana, kuwakejelia na kuumiza hisia za watu wengine bila sababu za msingi. Kuna baadhi ya watu tunaleta...
Habari, Mimi ni binti wa miaka 23, nimemaliza Diploma ya clinical medicine, Niko mwanza, ninahitaji msaada wa maelekezo ya namna ya kupata ufadhili wa masomo au ufadhili kabisa wa kusomeshwa nataman kujiendeleza kusomea Degree. Karibuni
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Habari madaktari,
Nahitaji msaada kwakweli, baada tu ya kujifungua huyu mtoto wangu wa kwanza nasahau mnoo, inanikera sanaa kwakweli, nasahau haraka sana na mara kwa mara, ninaweza kuwa na fanya kazi fulan, Ikitokea issue nyingine nasahu kabisa kazi ya mwanzo, mpaka wenzangu wananiambia...
Habari mm ni msichana wa miaka 23, nina certificate ya clinical medicine. Nipo Moshi. Ninatafuta kazi yeyote ile ya halali iwe ya fani yangu au isiwe ya fani yangu.
Ukihitaji taarifa zaidi na maswali, karibu PM.
Samahani uandishi wangu si mzuri tuvumiliane wapendwa.
Sent using Jamii Forums...
Habari zenu wapendwa,
Kuna kisa kilimtokea jirani yangu nikaona si vyema kukaanacho kimya, nikaona ni vyema niwashirikishe nanyi wenzangu ili mpate kujifunza pia kuchukua tahadhari kuna jirani yangu alibarikiwa kupata watoto nane, wakiume watano wa kike watatu na wote walikuwa na uwezo mzuri tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.