Wanajamii Nawasalim,
I would like to share with you the link below so tha you can have a look and comment. Why do you think this is the case?
Soon after I finished reading the thread, I went through searching for facts about our economy compared to theirs, it seems the gap is declining and...
Nashangaa mwamsifia Mkapa wakati mwajua fika matatizo mengi ya ufisadi yalitokea kipindi chake. Mfano EPA, MEREMETA, NET GROUP, RADA, NDEGE YA RAIS nk..
so sielewi kama issue to personal or hatujui tunachotaka.
:angry:WANAJAMII kipi hasa ni cheo cha Babu?
1. aITWE nabii? mtume? Mchungaji? Tabibu? mganga? mnajimu?
2. Musa alikuwahi kukutana wa wachawi MISRI wakamrushia nyoka wa kichawi naye mungu akamuamuru arushe fimbo ambayo ilizuka joka akawameza nyoka wote. Je dawa ya babu ni nyoka or joka na...
Hali zenu wanajamii!!!
Mwenzenu nina mdogo wangu kamaliza Chuo kikuu cha Dar Es Salaam mambo ya biashara. Miaka mitatu sasa anatembea kutafuta kazi hajapata hata kama ana first class. Nimemfungulia biashara pale kariakoo kusimamia mzigo toka china na kusambaza kwa wateja .. but kashindwa...
Hali zenu wanajamii!!!
Mwenzenu nina mdogo wangu kamaliza Chuo kikuu cha Dar Es Salaam mambo ya biashara. Miaka mitatu sasa anatembea kutafuta kazi hajapata hata kama ana first class. Nimemfungulia biashara pale kariakoo kusimamia mzigo toka china na kusambaza kwa wateja .. but kashindwa...
Kwako Baba mpendwa shikamoo!!
Salamu zangu kwenu nyumbani, mimi ni mzima hofu ni kwenu mlio mbali na upeo wa macho yangu!!
Dhumuni la barua hii ni kukushukuru kwa yote ambayo umekuwa ukinifanyia katika maisha yangu, pia nataka kutoa sononeko langu kuhusu maendeleo yangu kimasomo; Baba naomba...
Hello Wazee kwenye Jukwaa,
Naanza kwa kuwasalim wote. Last week nilikuta mjadala kuhusu kiwango cha elimu kati ya UDSM graduates na vyuo vingine. Mjadala ulikuwa mkali mno but kwangu ulinipelekea kufikiria mchango wa maprofs na PHD holders na other graduates kwenye jamii.
Hivi wanajamii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.