Hujakatazwa kuhoji, ila kawaulize TFF au GSM hao ndiyo wanaweza kutoa ufafanuzi.
Mmeambiwa hivyo tangu 2021. Sportpesa kadhamini Simba, Yanga na Namungo kwa wakati mmoja, mliuliza kwanini?
Dar ukitaka chumba hata kesho unakipata. Hela yako tu, siyo kama unaenda Europe au US.
Madalali kibao wapo Dar, kama una hela kidogo hukosi sehemu ya kukaa kwa miezi angalau 6, na sehemu za kula bei rahisi zipo kibao.
Kwa ufupi, mimi najua Dar es salaam ni mji rahisi sana kuhamia tena sana...
Kupenda ni hisia na anaezijua hisia hizo ni mtu anayependa tu.
Anayependwa kamwe hawezi kujua kama anapendwa, kwa hiyo angalia matendo na siyo maneno.
Unapoangalia matendo, bado huwezi kujua lakini matendo ndiyo kitu kinacho-matter.
Hapo Kuna mgawanyiko upi?
Yaani mnakalia mapori ya FDLR ndiyo mnaona mmeshinda?
Si mlikuwa mnakaaa Goma? That's a victory to you?
Mnachekesha sana, jengeni nchi yenu acheni kuwa paranoid.
ARV zimeboreshwa sana. Pia vipimo teknolojia yake ipo bora sasa hivi within seconds.
Zipo ARV za mara moja kila miezi miwili na pia kuna sindano ya mara moja kwa mwezi.
Zipo approved States.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.