Maandamano yaanza immediately kushikiza uliowataja wajiuzulu mara moja....Pia ni wakati wa kulitupia tatizo hilo macho kwa karibu zaidi.Tupate documentaries,tumudhihirishie ulimwengu unyama na unyanyasaji,kiini ni gold na ufisadi,yani rasilimali za watanzania.This is a serious issue,we need to...
Waandae presentation ya nguvu,maybe a PPT,kama wana links za video za huo unyama pia wazi incorporate,wasambaze kunakohusika na pia online iwe available,hapo mtaanza kuchochea fikra za mapinduzi tuwang'oe hawa mafisadi by any means neccessary,its time to come together and act,once and for all to...
Ni bora ungeendelea kusoma,si lazima uchangie everything,ni kitu gani umeandika sasa?Tulia soma hoja za wenzako badala ya kuposti upupu.Eti umaarufu zaidi,pumbavu sana!Unajuwa sheria wewe?Ama unasikia "sheria" na wewe unadakia tu "sheria"?Ni jambo gani polisi walilofanya la kisheria hadi useme...
Kwahiyo maneno ya kwenye vikatuni ndiyo polisi wameyatumia kama sababu ya kupora maiti,ku arrest revolutionaries na kunyanyasa wananchi?Kweli magamba mwisho wenu umefika.
Inaelekea alikuwa si mchezo huyu mzee,waombolezaji wengi wanaonekana wakiwa na huzuni ya kiukweli,hata hao viongozi wa vyama vya siasa wanaonekana wana huzuni kweli kweli,i wonder nani ataachiwa mikoba kati ya hao watoto wake.
Mkuu usidhani kwasababu mimi nimgeni kwa kujiunga hapa basi nilikuwa sisomi hii jf,nimeisoma tokea ikiwa Jambo Forum....Kama yanayozungumzwa humu yangekuwa yanafanya kazi,basi tungekuwa na serikali ya tofauti hivi sasa.Nasema ni upotevu wa muda kwasababu haya yamezungumzwa tokea 2006 na bado...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.