Search results

  1. S

    Yaliyojiri leo Arusha - Picha na video

    Safi sana mkuu kwa picha
  2. S

    Symbion Power acquires DOWANS Power plant

    Kesho yake ****** atakwambia hawajui
  3. S

    Kamati Kuu ya CHADEMA Kukutana Kesho Kupitisha Wagombea BAVICHA

    naipenda nchi yangu, nachukia ufisadi, mungu tupeni hekima na Busara ,Heche is the right candidate, wanamuogopa ndo maana wanatumia pesa.
  4. S

    Kamati Kuu ya CHADEMA Kukutana Kesho Kupitisha Wagombea BAVICHA

    Mr. Buberwa inaonekana unachuki binafsi na Heche, mimi sijalazimisha mtu yoyote ampigie Kura Heche, nimeelezea ninavyomfahamu, make kuna kundi la watu wamekuwa wakimchafua Bwana Heche. Akili yako ni fupi kama mkia wa mbuzi, inaelekea walimu wako walipata shida sana. Acha mambo ya kitoto...
  5. S

    Kamati Kuu ya CHADEMA Kukutana Kesho Kupitisha Wagombea BAVICHA

    jamani wana Chadema, watakopiga kura. Mimi binafsi namuunga John heche, kwa sababu zifuatazo: 1. Nimesoma naye, namafhamu tabia yake. 2. ana msimamo, Akisoma SAUT, aliwaongoza wanafunzi kudai haki zao, kama mikopo. 3. Ni mwanzilishi wa Tawi la SAUT{CHADEMA} mwanza, na amekuwa mweneyekiti pale...
  6. S

    Falsafa ya CHADEMA nguvu ya "umma" na wabunge wao 23

    kapate kikombe cha babu kwanza, Ruzuku ya CCM inasaidiaje nchi?milioni 800 kila mwezi, siwanaliapana mishara tu, acha ujinga , unamtindio wa ubongo wewe
  7. S

    Zitto Kabwe: Njama za kuivuruga CHADEMA kamwe hazitafanikiwa...

    nampongeza zitto kama ameamua kurudi kundini, make alikuwa anaelekea shimoni. marafiki zake akina rostam wamepigwa chini, sasa ameshtuka. Zitto hakuwahi hata siku moja kumsema vibaya Rostam, anayebisha alete ushaidi. Sasa ndg yangu zito, nakupa ushauri wa bure 1. achana na tamaa ya pesa za...
  8. S

    Koo linaniwasha

    nashukuru sana mkuu, inawezekana ikawa allergy, nitajaribu kufanya allergy test,
  9. S

    Hasira za Wazanzibar kuchoshwa na Muungano

    wadau, hivi Tanganyika inapata faida gani kutoka zanzibar? huwa sipati jibu
  10. S

    Fisadi kutimkia ulaya

    source please!
  11. S

    Koo linaniwasha

    Doctors, naomba msaada. Nina miezi kama minne nimekuwa nikisumbuliwa koo linalowasha kama mtu anayekaribia kupata mafua au kikoozi. mwanzoni hizi zilikuwa dalili za mafua au kikoozi kwangua. Tatizo la sasa nimetumia antibiotics nyingi lakini sipati nafuu, zinatuliza tu ana baada ya siku mbili...
  12. S

    Tatizo la kuwashwa mwili mara kwa mara- Fahamu chanzo, pata ushauri na tiba ya tatizo hili

    Hata mie natatizo kama hili, naona ni reaction ya maji kwa mwili, nina miaka mingi zaidi ya kumi. Ukimaliza kuoga jipake mafuta haraka hutasikia miwasho, imenisaidia sana. Usifadhaike tupo wengi wenye tatizo hilo
  13. S

    Msaada

    Acha story za Abunwasi, yaani wana janvi nilikuwa nawaona great thinkers, hata kwa hili mwashindwa ona kabisa. Hayo yanaweza kaa siku tatu kama watu wamejamiana, na ni ndani ya mwanamke, siyo kwenye sink la kuogea. hilo jamaa analosema ni uongo mkubwa, impossible under this earth
  14. S

    Mwanza bwana!

    Asante mkuu kwa kunikumbusha, niliwahi fikiria hilio. Tatizo ni viongozi wetu. Sababu za kukua kwa kasi mji wa DSM, ni kushindwa kuweka magawanyo sawa wa huduma za jamii. Angalia, kanda ya ziwa hakuna hata university yoyote ya serikali, ukiachilia SAUT na Tumain branch Bukoba. Ili upate elimu ya...
  15. S

    Natafuta mchumba/mume

    . lazima niodoke nawe, leteni contact
  16. S

    List of top universities & colleges in Tanzania 2011

    Top Colleges & Universities in Tanzania | University Web Rankings
  17. S

    List of top universities & colleges in Tanzania 2011

    2011 World University Ranking | Top 100 Universities in Africa soma top univeristies in AFRICA,20112011 World University Ranking | Top 100 Universities in Africa
  18. S

    Damu inanitoka kwenye dhakari

    sababu hizo zilizo tajwa zaweza kuwa sahii. Dalili hizo pia zaweza kuwa ugonjwa wa prostate glands ambao mara nyingi huwapata watu wenye umri mkubwa. dalili nyingine ni kukojoa mara kwa mara. usahauri: kachukue vipimo hospitali kwa uhakika zaidi.
  19. S

    Kanisa lakataa msaada wa mbunge aliyelikashifu

    napita...............................
Back
Top Bottom