Mr. Buberwa inaonekana unachuki binafsi na Heche, mimi sijalazimisha mtu yoyote ampigie Kura Heche, nimeelezea ninavyomfahamu, make kuna kundi la watu wamekuwa wakimchafua Bwana Heche. Akili yako ni fupi kama mkia wa mbuzi, inaelekea walimu wako walipata shida sana. Acha mambo ya kitoto...
jamani wana Chadema, watakopiga kura. Mimi binafsi namuunga John heche, kwa sababu zifuatazo:
1. Nimesoma naye, namafhamu tabia yake.
2. ana msimamo, Akisoma SAUT, aliwaongoza wanafunzi kudai haki zao, kama mikopo.
3. Ni mwanzilishi wa Tawi la SAUT{CHADEMA} mwanza, na amekuwa mweneyekiti pale...
nampongeza zitto kama ameamua kurudi kundini, make alikuwa anaelekea shimoni. marafiki zake akina rostam wamepigwa chini, sasa ameshtuka. Zitto hakuwahi hata siku moja kumsema vibaya Rostam, anayebisha alete ushaidi. Sasa ndg yangu zito, nakupa ushauri wa bure
1. achana na tamaa ya pesa za...
Doctors, naomba msaada. Nina miezi kama minne nimekuwa nikisumbuliwa koo linalowasha kama mtu anayekaribia kupata mafua au kikoozi. mwanzoni hizi zilikuwa dalili za mafua au kikoozi kwangua. Tatizo la sasa nimetumia antibiotics nyingi lakini sipati nafuu, zinatuliza tu ana baada ya siku mbili...
Hata mie natatizo kama hili, naona ni reaction ya maji kwa mwili, nina miaka mingi zaidi ya kumi. Ukimaliza kuoga jipake mafuta haraka hutasikia miwasho, imenisaidia sana. Usifadhaike tupo wengi wenye tatizo hilo
Acha story za Abunwasi, yaani wana janvi nilikuwa nawaona great thinkers, hata kwa hili mwashindwa ona kabisa. Hayo
yanaweza kaa siku tatu kama watu wamejamiana, na ni ndani ya mwanamke, siyo kwenye sink la kuogea. hilo jamaa analosema ni uongo mkubwa, impossible under this earth
Asante mkuu kwa kunikumbusha, niliwahi fikiria hilio. Tatizo ni viongozi wetu. Sababu za kukua kwa kasi mji wa DSM, ni kushindwa kuweka magawanyo sawa wa huduma za jamii. Angalia, kanda ya ziwa hakuna hata university yoyote ya serikali, ukiachilia SAUT na Tumain branch Bukoba. Ili upate elimu ya...
2011 World University Ranking | Top 100 Universities in Africa
soma top univeristies in AFRICA,20112011 World University Ranking | Top 100 Universities in Africa
sababu hizo zilizo tajwa zaweza kuwa sahii. Dalili hizo pia zaweza kuwa ugonjwa wa prostate glands ambao mara nyingi huwapata watu wenye umri mkubwa. dalili nyingine ni kukojoa mara kwa mara. usahauri: kachukue vipimo hospitali kwa uhakika zaidi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.