Kakwambia mtu unakufa mara moja tu. Hayo ya kuiogopa serikali ni ya kwako.
Hakuna kiumbe atakayebaki hai duniani. Hata hao usalama wa taifa watakufa kama binadamu mwingine.
So wasiokuwa na kazi ndo wanataka mishahara ya hovyo? Au unadhani matumizi/mahitaji yao ni tofauti ya walioajiriwa sasa?
Wakati nyie na serikali yenu mkiendelea kubana mishahara na kutumia ubabe wa kusema asiyetaka kazi aache, sekta binafsi inazidi kushika kasi tena ktk mazingira haya haya...
Usikurupuke. Umeambiwa mifugo yenu kibao ipo kule pia. Na kitu gani mifugo inakula kipindi hiki ambacho kimekuwa tofauti mpaka mkosane na watu?
Sasa uchumi wa viwanda mpaka mifugo [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Waambie walikemee au walifungie kama Mwanahalisi na Raia Mwema.
Nafurahi kuona sehemu kubwa ya dunia bado iko huru kuandika wanachotaka.
Mwenye hoja ya kupinga walichoandika, aweke makala ya kupinga hayo yote.
Umeanza kubwabwaja sasa. Unamaanisha ndo kampiga risasi au nini? Kwa polisi makini haichukui muda kujua ni silaha ya aina gani kufahamu.
Pia tambua kwamba polisi hao hao wanaweza kumwambia Mbowe kila ishu inayotakiwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.