Ni rafiki uako yupi hujui alieda wapi na huwa unam-miss sana na unatamani itokee siku mkutane tena?
Mtaje labda na yeye yupo humu na atakusikia[emoji7]
Mimi naanza na Fatma Ahmed Tamim, nilisoma nae Jamhuri High School Dodoma na alikuwa anaishi Area C
Ni miongoni mwa taasisi chache sana nchini Tanzania zilizokuwa zimebaki na heshima na mtu alijiona salama sana akiitwa katika ofisi za chombo hiki.
Kwa sasa hali imebadilika. Mheshimiwa Sirro, tupia macho yako hapo. Mheshimiwa Mkurugenzi Mkuu Wa TAKUKURU ndugu Mbung'o tupia macho yako hapo...
Ptuuuuu!! Wanaume (sio wote) muwe na japo akiba kidogo ya aibu. Unatumia nguvu nyiiingi kumshawishi mwanamke. Unakubaliwa. Mnaenda hoteli, unalipia na unaagiza vinywaji.
Muda wa kujigijigi unafika, unavua nguo zako.. kumbe mkono wa sweta. Looo, hunipati ng'ooooooo
Kwendraaaaaaa
Habari zenu ndugu! Ushauri wenu ni muhimu sana
Kuna mkaka mmoja mstaarabu sana kwa muonekano wake na hata katika mazungumzo yake. Kaka huyu tunatoka nae sehemu moja, ameoa na ana watoto. Shughuli zake anafanyia Arusha.
Mkaka huyu siku za nyuma baada ya kugundua nipo chuoni alikuwa anakuja...
Siku hizi kumekuwa na matangazo katika vyombo vya habari na hata mabango mtaani yamejaa ujumbe unaofanana.
*Ujumbe unaojulisha umma kuwa kuna dawa za kurefusha na kunenepesha uume. Au Ujumbe unaojulisha kuwa, kuna dawa inayoweza kukufanya ukae kifuani kwa mwanamke kwa muda mrefu.
Nani...
Kijana Shabab kabisa. Unapaka poda, unalegeza sauti na kuongea kama mwanamke. Mwili unaulegeza kama mwanamke.
Outing unakula soseji moja na nusu glasi ya juisi, halafu unajitia huwezi kumaliza.
Maongezi yako yote, ni kujisifia. Gari unaloendesha umeazima..Lol
Mwanaume unatakiwa ujiamini. Ishi...
Hello friends.
Nakutakieni mwaka mpya (2018) mwema, na ninamuomba Mungu atufikishe salama.
Nawapenda woooote ndugu zangu wa www.jamiiforums.com na hasa wana wa chit chat
Habari zenu ndugu zangu.
Ninataka kujifunza kuendesha gari, haya magari madogo ya familia.
Je, wiki mbili zitanitosha kujua kuendesha manual na automatic?
Mara moja moja huwa naenda kuabudu katika moja ya makanisa ya maombezi na uponyaji hapa Arusha. Sasa, mchungaji wa kanisa hili amekuwa akinitongoza kila mara anionapo na hata kwa simu. Mwanzo alikuwa akinipigia simu usiku kwa ajili ya maombezi, lakini baadae ikawa baada ya maombezi...
Wapenzi wangu wanamichezo.
Naombeni mnisaidie, maana kila siku nimekuwa nikijiuliza maswali haya matatu na majibu sipati. Maswali ni haya yafuatayo:-
* Ni kwa nini unapopigwa mpira wa adhabu (faulo au penati), wachezaji wa timu mpira unapoelekea hushika sehemu zao za siri?
* Je, kiongozi wa...
Wana MMU, hasa wa Dar na Dom. Ninasafari ya Dar, Naombeni kujua hotel/lodge nzuri jirani na Stendi ya mabasi ya mikoani. Iwe ya bei ya wastani kama shilingi 20,000 hadi 30,000 kwa siku. Iwe jirani na chakula kinapopatikana na pia isiwe vichochoroni.
Pia Lodge yenye sifa hizo hizo kwa Dodoma...
Ndugu zangu, msaada. Ninasafari ya D'salaam na Dodoma wiki ijayo.
Ninaomba kujuzwa hotel/Lodge nzuri na za bei ya wastani isiyozidi shilingi 30,000.
Mambo ya kuzingatia:-
Iwe safi na yenye usalama.
Iwe sehemu ya wazi (si ndani ndani sana ya mji). Ikiwa jirani na stendi ya mabasi ya kwenda...
Upo mapenzini na labda umemkuta mwenzi wako tayari akiwa mkubwa "si bikra". Katika hali hii usipende kupekua maisha ya kimapenzi aliyokuwa nayo awali. Anza pale mlipokutana ninyi.
Kupekua pekua hakufai, maana unaweza kupewa ukweli ambao utakuumiza maisha yako yote. Mfano, wewe mwanaume...
Sisi Watanzania ni watu wa ajabu sana, hasa linapokuja suala la siasa.
Mapenzi yetu katika siasa yanatuondolea hata uwezo wa kufikiri.
Tazama jambo hili:-
Majuzi, serikali ilizuia mikutano ya vyama vya siasa katika maeneo ambayo vyama hivyo havikushinda. Wapo watu wamefurahia sana jambo hilo...
MMU!
Ni utumwa au Uhuru? Ukiwa katika mapenzi, unakuwa hauna privacy. Muda wowote mpenzi wako anaweza akachukua simu yako na kuipekua.
Wengine unakuta mpenzi wako anakuwa na passwords zako za akaunti zako za benki, na hata za mitandao ya kijamii.
Kwa baadhi ya ndoa, kama mwanamke ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.