Habari wakuu.
Poleni na hongereni kwa majukumu, sijawahi kutoka nje ya Tanzania ndio nataka nianze sasa kwa kuanza na Jiji la Nairobi, Sina ndugu, rafiki wala mtu ninayefahamiana nae Nairobi, ila nimekuwa na msukumo wa ndani ukinitaka nifike Nairobi ,Sina passport ya kusafia, nahitaji kujua...
Kama unatumia beer na unapenda kubadishana mawazo na wanaopenda beer karibu ujiunge kwny group whatsapp
Follow this link to join my WhatsApp group: https://chat.whatsapp.com/Jwme5LhbWOoK28mpX7hopg
Nakodisha ofisi ya biashara ya juice miwa kwa mkataba wa Meizi 6,biashara ipo magomeni na imekamilika gharama zangu ni Tsh.10000 kwa siku,kama kuna mtu anahitaji anicheki 0692484388
Wakuu poleni na majukumu,naombeni msaada wenu ni wapi nitapata daktari kwa ajili ya matibabu kwa mtoto wa mwaka mmoja na nusu anaonekana kuwa na matege ..Pia nimewahi kumpeleka ccbrt niksambiwa nimrudishe akifika miaka miwili hawakumpatia tiba yoyote..nitashukuru kwa msaada wenu na Mungu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.