Hizi radio nyingi huwa ni issue ya setting, cheza na remote vizuri, cheki bass, check noise, mwisho cheki connection za waya kama zipo sawa.
Kuna rafiki yangu mmoja alinunua subwofer la aina ya Seapiano, akiwasha inaongea kama sauti ya simu ya kitochi, nikakutanaye naye yupo kwenye bajaji...
Habari,
Msaada wa link ya kudownload drivers za Samsung model 300 E4C ambazo haziuzwi.
Baada ya ku upgrade kutoka Windows 7 kwenda Windows 10 pro 64bits nimepata tatizo za drivers, bluetooth, display etc.
Nimejaribu kusearch nakumbana na za kuuza tu.
Je, wapi nitapata kwa free.
Sio kweli. Wanawake wa Kigoma unaowazungumzia ni wa zamani ndio wana tabia hizo sio wa sasa, kwanza ni vema utambue Kigomankina mwingiliano mkubwa wa raia wa nnchi ya jirani yaani Burundi na Rwanda. Aidha nchi hizo zina kabila la Watutsi na Wahutu. Kabila la watutsi wapo wemelowea wengi sana...
Mambo!
Aisee ni computer [Laptop} gani ambayo ni nzuri kwa maana ya kudumu na muonekano mzuri, na kwa Dar es Salaam ni sehemu gani ninaweza pata ambazo ni original.
Mkuu naona Office 2016 zilizopo ni 64 Bit msaada za 32Bit [Au sielewi sijui]. pia kuna tofauti gani kati ya open office na microsoft Office.
Je zina activation? Msaada please.
Tafadhari mwenye kufahamu namna ya kuweka hii "text watermark" kwenye certificate/cheti, nimejaribu ku google nimepata ila kuna sehemu inanishinda kwenye TIP na namba 7, natanguliza shukrani za dhati.
Mimi nina mahusiano na binti mmoja kwa sasa mahusiano yetu yamefikia miaka mitatu. Lakini cha kushangaza kila ninapokutana naye lazima nitoke machozi, yaani lazima atapigiwa simu ambazo zinanikwaza na nikijaribu kudadisha mwisho wa siku lazima nitoke machozi. Pia nikikagua simu yake lazima...
Huo umri kimbia mbali san wana visirani mfanoe hakuna, ukimsalimia tu siku ya pili anaanza kukusumbua kukutaka ukajitambulishe kwao (wazazi) na kukuuliza harusi lini, ni majanga.
Imefikia hatua mpaka unaongopa kujenga nao urafiki ukienda tofauti na matakwa yake/yao ameshanuna.
Kuolewa ni bahati tu zaidi mi mapenzi ya mwenyezi Mungu, kuna wanawake wana tabia nzuri sana na sura mpaka unaweza muonea wivu mwanamem mwenzako ambaye atamuoa, lakini umri unasonga tu haolewi, mimi mwenyewe naendelea kumshuhudia dada mmoja ambaye ana 32 hajaguswa kabisa na ana tabia nzuri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.