Kwa hiyo kama familia ya mkeo ni familia yako pia inamaanisha mwanaume akioa familia nzima ya mwanamke inaamia kwa huyo mwanamke na kumtegemea kwa kila kitu
Kuna familia zina mambo ya ajabu
Mahitaji
1.Viazi mbatata kilo 1
2. Mabamia fungu 1 kubwa
3. Mabiringanya makubwa 2
4. Karoti
5. Mafuta ya kupikia
6. Nyanya
7.Vituungu maji 2
8. Swaumu
9. Ndimu
10. Chumvi
Jinsi ya kupika
1. Chukua viazi vimenye na uvioshe kisha vipasue mara nne kwa urefu kisha uvikate kwa upana kama unakata...
Kwann usiende kwenye ofisi za hizo ndege wanazosafirisha mizigo nafikiri huko utapata info zote muhimu na kwa ufasaha zaidi
Kama kwel uko makini na biashara yako fanya hivyo mkuu
Na mimi pia ndo nimeelewa hivyo kwamba nia yake ilikuwa kuhamasisha na sio kujionyesha kwa watu kuwa katoa msaada
Hakika mwenyezi mungu anajua zaidi yetu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.