Search results

  1. lifeofmshaba

    Natafuta soko la maziwa lita 90 kwa Siku

    Salamu wakuu Kama kichwa cha habari hapo, natafuta soko la maziwa ya ng'ombe kuna lita 90 za maziwa kila Siku yanaweza patikana. Kwa mwenye mahitaji au anayejua soko nitashukuru sana Tuwasiliane email bunyinyiga2014@gmail.com Asante sana
  2. lifeofmshaba

    Nape ampiga kijembe PINDA ........ taifa limejaa mipasho

    Kauli ya Nape kutetea watoto wa viongozi kupewa vyeo au kubebwe ni kijembe kwa Pinda yakwamba mbona na yeye kapewa hapo chini ni alichosema nape kwenye post yenye link kwa chini kabisa
  3. lifeofmshaba

    Cameron threat to withhold UK aid to anti-gay nations ........ WATANZANI MPOO

    British empire Mr Cameron told BBC One's Andrew Marr Show that "British aid should have more strings attached". But he conceded that countries could not change immediately, and cautioned that it would be a "journey". "This is an issue where we are pushing for movement, we are prepared to put...
  4. lifeofmshaba

    Africa's 20 most powerful young women

    New list shows 20 dynamic young African women under age 45 This is the obvious question that follows from my blog yesterday which listed Mfonobong Nsehe's selection of Africa's most powerful men under 40. Nsehe has also compiled a list of 20 powerful African women under age 45. What do you...
  5. lifeofmshaba

    Polisi na matumizi ya bunduki zidi ya raia, waliofumaniwa mmoja apigwa risasi

    Jeshi la polisi limekumbwa na kashfa nyingine baada ya askari wake kudaiwa kumpiga risasi msichana wa miaka 16 baada ya kumkuta akivunja amri ya sita ndani ya gari. Msichana huyo (Jina tunalihifadhi) alikumbana na mkasa huo Jumatano usiku eneo la Mbagala Zakhem jijini Dar es Salaam, ambapo...
  6. lifeofmshaba

    Vodacom, tigo na Zantel tuwape adhabu gani ili iwe mfano?

    Baada ya kusoma makampuni bora kwa ulipaji kodi Kutokana na vodacom kusema kila siku wao ni kampuni kubwa/mama ya mawasilino ya simu na internet nchi , inapokuja kwenye suhara la kodi wanakuwa sio kampuni mama/kubwa nchini, hapa wananchi tunakila sababu ya kuwa wajibisha hawa watu maana...
  7. lifeofmshaba

    Wasindika samaki wa Tanga wafungiwa

    MAMLAKA ya Udhibiti wa Chakula na Dawa (TFDA), imekifungia Kiwanda cha Kusindika Samaki cha Sea Product cha jijini Tanga kwa kosa la kuingiza shehena ya samaki kutoka nje ya nchi bila kibali cha mamlaka hiyo. Uamuzi wa TFDA kukifungia kiwanda hicho umefikiwa baada ya kufanyika kwa ukaguzi...
  8. lifeofmshaba

    Tanzania report reveals extent of violence against children

    For the first time an African country has subjected itself to international scrutiny of the rates of mental, physical and sexual violence suffered by girls and boys, and their impact An 11-year-old girl walks along a road with her sister in Tanzania Much is known about the physical health of...
  9. lifeofmshaba

    HIV expert jailed for keeping woman (tanzanian) as slave in London flat

    Rebecca Balira sentenced to six months and ordered to pay 21-year-old Methodia Mathias £3,000 in compensation Rebecca Balira was convicted at Southwark crown court of keeping Tanzanian woman Methodia Mathias as a slave An HIV expert has been jailed for keeping a 21-year-old woman as a slave...
  10. lifeofmshaba

    LEO ni Miaka 15 ya Dhahabu ya damu’ ya Bulyanhulu

    je haki imeshatengeka? na sheria za madini je? Dhahabu ya damu' ya Bulyanhulu haki itendeke kwa damu iliyomwagika MIAKA 15 imepita, lakini sauti za wachimbaji wadogo wa dhahabu waliouawa kwa kufukiwa katika mgodi wa Bulyanhulu wilayani Kahama mkoa wa Shinyanga, bado zinasikika katika kijiji...
  11. lifeofmshaba

    LEO ni Miaka 15 ya Dhahabu ya damu’ ya Bulyanhulu (7 Agosti 1996 majira ya saa 10.00

    je haki imeshatengeka? na sheria za madini je? Dhahabu ya damu’ ya Bulyanhulu 1.haki itendeke kwa damu iliyomwagika 2. makampuni ya madini sasa iwe mwisho wa kupotea roho za watanzania bali wapate utajili MIAKA 15 imepita, lakini sauti za wachimbaji wadogo wa dhahabu waliouawa kwa kufukiwa...
  12. lifeofmshaba

    Lini viongozi wetu watakuwa na majibu ya kiofisi? Na sio maoni yao binafsi

    DPP amkana Hoseah ASEMA HAJAPATA JALADA LA CHENGE, AAMBIWA AKAANGALIE MASJAJA SIKU moja baada ya Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), Dk Edward Hoseah, kusema kwamba ofisi yake imekamilisha uchunguzi wa madai ya kumiliki Dola za Marekani 1.2 milioni katika...
  13. lifeofmshaba

    PUGU nadhani JUMA WASISI mnamsoma......

    http://youtu.be/9y-7nhTRlTU
  14. lifeofmshaba

    Elections 2010 pamoja na yote wana CHADEMA tutambue/tunakosea ili.....

    http://youtu.be/GhlEEAJIShE kuna majimbo mengi kama la ukonga ni mfano mzuri kwa nini limekwenza ccm? hii ni kutokana na watu kutopiga kura
  15. lifeofmshaba

    Dk. Wanyancha M/kiti Mfuko wa Barabara

    RAIS Jakaya Kikwete amemteua Dk. James Wanyancha kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Mfuko wa Barabara (RFB) kwa kipindi cha miaka mitatu kuanzia Juni 3 mwaka huu. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Wizara ya Ujenzi iliyosainiwa na Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Balozi Herbert Mrango, uteuzi huo ni kwa...
  16. lifeofmshaba

    Mkulo: Posho za wabunge zinaweza kufutwa

    25th June 2011 Bpe Waziri wa Fedha na Uchumi, Mustafa Mkulo Serikali imesema suala la kuondolewa kwa posho za vikao kwa wabunge linawezekana isipokuwa mchakato ni lazima uanzie katika kamati ya uongozi ya Bunge. Kauli hiyo ilitolewa juzi jijini Dar es Salaam na Waziri wa Fedha na Uchumi...
  17. lifeofmshaba

    Leo mpambe wa JK wamemfukuza?

    kila anapokwenda jk lazima hule mapambe wake anaye mbegea mizigo awe kwa nyuma au pembeni, lakini nashanga leo hayupo au wakienda USA uwa anatolewa? tufaamisha wakuu na nchi yetu ya kijima President Jakaya Kikwete (2nd R) signs a world map indicating different areas where the U.S Peace Corps...
  18. lifeofmshaba

    wakuu mpambano unaendelea twanga kote kote facebook

    wana jamii salamu pamoja na JF kufanya kazi kubwa kuwafikia watanzania wengi kwa siku na wasio watanzania. llazima tuhakikishe vita inapigwa kila kona kuna page katika faceboo kama hutakuwa huko karibu kutoa post ili kuelimisha wenzetu wengi ambao hawajalala au kufika hapa jamii forum...
  19. lifeofmshaba

    lindi umasiki waathiri maendeleo ya shule

    WANAFUNZI wa shule za msingi mkoani Lindi wamedaiwa wameacha masomo na kuamua kuwalea wazazi wao walioathirika na maambukizi ya magonjwa. Mratibu wa Mradi wa Pasha mkoani Lindi, Sarah Mraponi alitoa taarifa hiyo wakati akizungumza na walimu wanasihi wa shule za msingi kutoka wilaya za Kilwa...
  20. lifeofmshaba

    Mufuruki: Vijana wengi hawana sifa soko la ajira

    Fredy Azzah MWENYEKITI wa Umoja wa Maofisa Watendaji Wakuu wa Kampuni zilizopo nchini, Ali Mufuruki amesema vijana wengi wanaomaliza vyuo vikuu mbalimbali nchini, wanashindwa kupata ajira kwa kuwa hawana sifa zinazotakiwa katika soko la ajira.Mufuruki alisema vyuo vingi nchini vinazalisha watu...
Back
Top Bottom