Marais wa hizi nchi mbili walileta fyoko fyoko mwisho wake ikawa hivi.
Hapa ni Brazil, mamilioni ya watu walimchoka ikabidi aondolewe
Hapa ni South Korea, na hii ni ya juzijuzi tu. Huyu naye aliondolewa.
Hawa marais wawili walichokifanya kinafanana sana na huyu wa hapa kwetu, huyu wa...
Kwa developers, ningependa kama kuna mtu anafahamu any messaging api specifically kwa mitandao ya Tanzania, nahitaji kuweka feature ya authentication kwa kumtumia user sms yenye pin number.
I cant go with services za nje kama Twilio kwa sababu ni very expensive kwa mitandao ya Tanzania...
Nimeamua kuanzisha huu uzi baada ya kuona karibia kila developer ninayekutana naye mtanzania tools zake backend: Php + MySQL, frontend: HTML/CSS/JavaScript.
Ok sawa, Php is a great language ndiyo, ni popular next to Javascript kwenye web development. You can do a lot of things with Php, Ila...
Nimekutana na hizi nyumba zilizojengwa kwa shipping containers nimezipenda sana.
Very simple and clean design, contemporary houses. Na hata kama sio kwa ajili ya nyumba nadhani inafaa kitu kama a small coffee au chilling area. Kwa anayefahamu bei ya shipping containers kubwa naomba anitajie bei...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.