Thats your personal stupid opinion hujui chochote kuhusu online security, kabla ya kuanza defense nilikua offense, nimehack hadi cryptocurrencies nikapiga hela za watu, I know exactly what I'm talking about, we hujui hata kinachoongelewa nini unajifanya unajua kuchangia, unasupport kureverse...
Haha kudhihaki ni kosa? Basi funga nchi nzima, ni kitu kila binadamu anafanya, tofauti moja ni online nyingine ni offline. I'm done dealing with you stupid people, block list yangu karibia ijae.
Jiwe ni kilaza, nothing u say kinamuingia, yeye kwake anaona kila anachofanya ni correct.
Yupo tayari mfe wote ili mradi asifate kitu cha kuambiwa, anataka kila kitu kitoke kichwani kwake tu.
Mtukufu wetu jiwe, mkemia mkuu wa nchi, daktari mkuu, igp wetu, mchumi mkuu wa nchi, yeye mwenyewe alikuja na vipimo vyake, yeye ni physician mkuu wa nchi unadhani alishindwa kutengeneza kipimo chake mwenyewe?
Nje sio kwamba unaomba visa tu ya kufanya kazi unapewa. Unless umepata kampuni tayari ambayo ipo tayari kukusponsor visa au kama una 200 million ya kwenda nje kuinvest kuingia sio kirahisi, ndiyo maana wengi wanapitia njia za shule kwanza. Ukienda kuomba visa ukafanye kazi nje hivihivi tu...
Wazazi wake wamelea vibaya, mtoto ukimpa kila kitu anakua jinga kama huyu. Kakonda balaa na si hata sababu ya madawa, sababu anajifanya hali nyama, eti kawa vegan hahaha! nyoko kabisa. Ghafla kageuka gay, na utakuta si gay basi tu anafanya hivyo ili kujaribu kua politically correct. Ukiwa na...
Unaongelea moja ya vilaza wanaomfuata kufuli?
Watu wote aliochagua kufuli ni type hii, wanajihisi wanaongoza dunia nzima, zamani Tanzania ukiwa na hela unajiona upo juu ya wengine, sasa hivi ukiwa unapendelewa na jiwe unajiona upo juu ya ulimwengu, huyu na wakuu wamikoa wengine wakiongozwa na...
Hahaha 😂 unaongea utadhani ni rahisi, hakuna mtu mwenye trading algorithm ambayo inaguarantee faida, unamwambia mtu ambaye hana hata background yoyote atengeneze algorithm ya trading? Haha unataka apoteze hela zake zote?
Pole sana, it happens to almost everyone.
Kaa jipange upya, usitake furaha yako itoke kwa mtu mwingine, furaha yako itoke kwako mwenyewe kitu kama hiki kikikutokea tena utaweza ku-move on very quickly. Tafuta hobby au kama una kazi concentrate fanya, be the best you can be utakutana na watu...
Fatilia post zangu uone, nimekubaliana naye kama 50% na kumpinga kama 50%. Mimi sio sifiasifia kila kitu wala pondea kila kitu, vipo vitu vingi tu namuunga mkono, lockdown isiwepo naunga mkono, alivyopambana na wachina naunga mkono, kuzuia watoto waliopata mimba wasisome nimepinga, umeme...
Na kuna watu laki kadhaa waliougua wakakaa tu nyumbani wakajifungia wakapona. Hahah zee jinga hili, mtu moja kupona haimaanishi ni dawa, ingekua hivyo watu milioni waliopona duniani kwa kukaa tu miili yao ikapambana na virusi tungesema hiyo ni dawa kwa hiyo tusifanye lolote.
PhD hivi aligawiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.