Mwanasheria mkuu wa serikali ametoa ufafanuzi bungeni kuhusu vipengele vya marekebisho ya mifuko ya pensheni vinavyolalamikiwa, na kuahidi kuwa ataleta tena hiyo hoja bungeni ili wabunge wavipitie Upya.
Aidha amesema serikali haina hila yeyote katika hilo na kuwa uwezekano wa kuvirekebisha au...
Jana wakati nasikiliza bunge nimejifunza jambo jipya. Kumbe wabunge hawana mamlaka ya kumwondoa waziri au katibu mkuu wa wizara yeyote, ila wanaweza tu kupiga kura ya kutokuwa na imani na waziri mkuu na akaondolewa madarakani kwa matokeo ya kura hiyo.
Sasa naomba kwa wadau wa sheria wanisaidie...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.