Machozi ya waliobomolewa bila kulipwa hayajadondoka bure. Tutakuja kufundisha Nguvu ya Roho zilizokunjika, unaweza usifanikiwe mpaka nafsi hizo zikunjuke.
Wamekazania kumuonesha Yule Kitukuu cha MKWAWA utadhani ndio historia pekee ya Tanzania. Nimeshaacha kutazama iyo channel.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kila kitu Rais Magufuli tusaidie, kwani hakuna mawaziri wa wizara ya usafirishaj au hakuna viongozi wa mamlaka husika?. Kila kitu tukisubiri mpaka Rais hatutafika mahali.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.