Lazima wakuletee mbamba nyingi! kuna mtu wa kuitwa Tips master alikuwa anatumia 22bet aliunda group akasema lile group stake ni kuanzia 2M wakambutua siku mbili tatu 22bet wakaanza figisu za kutoa njia za kuwithdraw ndo mpaka leo hii ile kampuni ikafa maana walikuwa wanapigika haswaaa
Wakuu, hv kuna mtu amefanikiwa kutoa Pesa Helabet kuanzia jana?? Hawa wangese wameanza Michezo ya kitapeli kama 22bet kipindi kileee! sasa hv nishastuka ukiona kampuni lolote Bongo limefanana na 1xbet halafu kudeposit na kuwithdraw ni kwa Mobile payments jua tu ipo Siku Watakuliza watakimbia na...
Hizo Features zote hazipatikani kwenye A Series halafu S na Note Series Ambapo ndo zinapatikana napo Betri Majanga [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hapo ndo ninapochanganyikiwa kununua Samsung! ukitaka Battery chukua A Series ila sasa Ule unyama Haupo huko...
Ukiwa kwenye sector ya Usafirishaji uwe Konda, Dereva Bajaj, Bodaboda, Daladala as long as inahusisha abiria Nakuhakikishia 2023 is going to be your Year! Usisahau Key point :UAMINIFU
sio unakuwa Bodaboda unapigiwa Simu unaulizwa uko wapi unasema upo jirani kumbe Upo Km 20 away unafata abiria...
Yale ni Maigizo na kuna Script kabisa imeandikwa na kila kinachofanyika pale kimeshakuwa Planned Msidanganyike Watanzania wenzangu ule ni Utopolo mtupu kama Mieleka (WWE)
Kama Huwezi kumla Kanji Buku 2 kwa stake ya Buku nakuhakikishia hata uweke milioni napo utshindwa kumla! Kama unabisha tafuta Hiyo laki 5 unayosema halafu utupe majibu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.