Habari wadau, naamini mko poa.
Ni muda sasa nimekuwa nikifuatilia kuhusu cloud computing na nikafikia hatua ya kutaka kujua kiundani, katika kufuatilia kwangu nikagundua kuwa naweza kujifunza online na kupata cheti.
Ningeomba kujua kama kuna mtu ambaye alishafanya mitihani ya amazoni anipe tu...
Habari za mda huu wadau, ningependa kujua ni wapi naweza kununua au kupata vitabu vya programming language kama javascript na java kwa Dar es Salaam, Nimejaribu kutafuta maduka mbalimbali ya vitabu bila mafanikio.
Yeyote anayeweza kunisaidia tafadhali
Habari za muda huu wadau,
Nilikuwa natumia Tecno W4 kwa mUda mrefu kidogo, lakini ghafla ilianza kupunguza muda wa kukaa na chaji na mwisho kabisa ikawa haichaji.
Inawasha kitaa chekundu kwa ishara kama inachaji lakini haiingizi chaji, hata ikiingiza itaishia asilimia 3 tu,
Nimebadilisha...
Habari za wakati huu wadau, naomba msaada kwa wataalamu wa computer. computer yangu imezima ghafla nimejaribu kutoa betri na kuirudisha tena lkn wap, nimejaribu kubadilisha adapter pamoja na betri kutoka kwenye pc nyingne ya aina hyo hyo ambazo ziko vizur lakin bado haijawaka, na haikuwa na...
Salaam wakuu,
Naombeni kuuliza hiv kwa wanafunzi wanaoendelea na masomo nikimaanisha mwaka wa 2 na 3 majina yao ya mkopo huwa yanatoka kwa batch pia?? Yan kwamba unaweza kuwa continuos student lkn jina lako lisije kwenye batch ya kwanza likaja kwenye batch zinazofuata
Naombeni kujulishwa
Mm nakumbuka mwaka jana nilikosa round ya kwanza nikakata tamaa lkn round ya pili nikapata, kuna rafki zangu walikosa bado baadae wakaja kupata vyuo hvyo nawasihi wadau msiwaze sana ila muwe mnafuatilia kwa karibu taarifa zinazotolewa na vyuo mlivyoomba pamoja na tcu, kuna mdau wangu mmoja hvo...
Habari wakuu
Naomba kufahamishwa kuhusu hii fani ya software eng kwa anaye ijua vizuri hususan kwenye kaz zake niliomba electrical dit na software udom sasa dit sjachaguliwa hvo nasubiri second batch ya udom ingawa kiukweli moyoni naikubal electrical ila sina namna msaada wakuu
Habar wakuu
Naomba kujulishwa ni namna gan naweza kujifunza kiingereza mimi mwenyewe na kuweza kuongea bila kusitasita, kwa sasa naweza kwa kiwango kidogo sana
Ni vitabu gani nisome?
Ahsanteni
Habari
Mpaka sasa nacte kutokutoa selection wala kutokuwepo kwa taarifa yeyote elekezi ni kama kuonea wanafunzi kwa sababu kuna maandalizi yanayotakiwa yafanyike na wanaotarajia kujiunga na vyuo ukizingatia vyuo vingine viko mbioni kufunguliwa
Habari wakuu
Kwa wanao vijua hivi vyuo viwili DIT na MUST heb tunaomba mtujulishe mwaka wa masomo 2016/17 unaanza lini ili tusijichoshe sana kusubir selection kumbe kitu ni mwezi huu mwishoni
Asante
Habari wakuu
Chuo cha maji kimetoa majina ya diploma holder na form 6 kwa pamoja first batch, hvyo tusubri kidogo na tuamin kwamba hatujatengwa
Asanteni
Habari wakuu,,
Kwanza kabisa mimi ni Mkristo ninaye muamini MUNGU, ROHO MTAKATIFU na YESU KRISTO...
Miaka michache iliyopita nilikuwa nikipenda sana kufuatilia mambo mbalimbali kuhusu dini na madhehebu tofauti tofauti kuona yalianzishwaje na chanzo chake kilikuwa ni nini na makusudi yao pia, lkn...
Habari vipi wakuu?? naona ukiingia kwenye website ya nacte kwenye results wameandika we are finalizing second selection, je kuna ambao wameshapata hyo first selection ya nacte???
Wakuu vip kama wameruhusu kuanzia tar 12 watu waapply tena vip mbona selection bado?? au kama kuna wa diploma aliyekwisha ona amechaguliwa tujulishane wadau, kwenye profile naona wameniandikia system is current running, Tujulishane plz tusije chelewa second round
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.