Habari wadau, naamini mko poa.
Ni muda sasa nimekuwa nikifuatilia kuhusu cloud computing na nikafikia hatua ya kutaka kujua kiundani, katika kufuatilia kwangu nikagundua kuwa naweza kujifunza online na kupata cheti.
Ningeomba kujua kama kuna mtu ambaye alishafanya mitihani ya amazoni anipe tu...
Nashukuru mkuu, ila nilipokuja kuchunguza vizuri computer inaanza kutoa mngurumo baada ya 5 beeps (kutoa mlio mara tano) na nilivyofuatilia ni kama ni cmos battery ina tatzo
Boss nina desktop yangu Dell, nikiiwasha tu feni inanguruma kwa nguvu lakin haiwaki kabisa, naskia feni tuu ina nguruma na kataa ka kuonyesha kwamba ipo on lakin kwenye screen hamna kitu
Habari za mda huu wadau, ningependa kujua ni wapi naweza kununua au kupata vitabu vya programming language kama javascript na java kwa Dar es Salaam, Nimejaribu kutafuta maduka mbalimbali ya vitabu bila mafanikio.
Yeyote anayeweza kunisaidia tafadhali
Habari za muda huu wadau,
Nilikuwa natumia Tecno W4 kwa mUda mrefu kidogo, lakini ghafla ilianza kupunguza muda wa kukaa na chaji na mwisho kabisa ikawa haichaji.
Inawasha kitaa chekundu kwa ishara kama inachaji lakini haiingizi chaji, hata ikiingiza itaishia asilimia 3 tu,
Nimebadilisha...
Mkuu huyo ni jiran kabisa nlkuwa nikipita pemben ya fence yake nikienda shule o level, unayoyasema ni ya kweli kabisa, pamoja na fedha zote hzo hawez kukumbukwa kwa msaada wowote,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.