Mada yako haina ukweli wowote..Trump angekuwa Tanzania asingeweza kuruka kuviunzi...angeishiwa kufilisiwaa au kuuwawa kabisa. Wenzetu kule wanafuata sheria za mahakama...lakini sio kwetu Tanzania, kwetu maigizo toka juu ndio kila kitu.
Maada yako haina ukweli wowote ule
Beberu hujaelewaa mada kabisa. Matajiri wengi ni watu wa serikali achana na awo iliwataja wewe. Sisi tunazungumziaa wengi ni wapigaji viongozi wa serikali ni Matajiri kupitiaa wizi wa pesa za serikali na kujiwekea mifumo ya kujilinda na kuwekaa ndugu zao au watoto
Wapo bizee kuipambaniaa CCM nakuwapa mbinu mbali mbali zakuendeleaa kuitawala Tanzania. Sio rahisi kupata muda kufikilia maslai mapana ya uchumi wa Tanzania
Nato mnadeka sana...muingiee vitani tuone..tumechoka Sasa kila cku Russia russia...cmko wengi ingieni uwanjani mamayee...kama hamjaja kuishii Africa kama wakimbizi
Tutasimama na [emoji635] Russian hadi eukrane yote iwe chini ya Russian ili kuwe na balance of power, inaboaa kuwa na Dunia inayojaa mashoga..Russian wakishinda hii SMO Dunia itakuwa mahala salamaa sana
Si kweli..upeo wako wakufikilia ni mdogo sana..unauwakika gani? Unajuaa alichofanya Nyerere katka hii nchi ni makubwa jee unajuaa Rais atayekuja baada baadaee miakq michachee ijayo..au kipindi mwanao akianza kupiga...labda usemaa wewe binafsi ndio raisi wako bora Magufuri...
Sababu serikali imesimamiaa ila trust kama angepewaa mtu binafsi kuwendeshaa..huduma zingekuwa nzuri..angalia tu mfano wa mabasi makubwa..ya mikoani inavyoendesha vizuri na watu binafsi
Benz...ni gari nzuri sana...sema..Sasa upate mafundi wazuri special wa benz..tofauti na apo utaichukiaa...kwa wale wa Arusha wanaomiliki benz niwapelekee sakina kwa mafundi benz
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.