Habari zenu Great thinkers?
Naomba kujua fursa za biashara zilizopo katika nchi mbili nilizozitaja hapo. Ni bidhaa gani naweza kutoa Tanzania nikapeleka huko au ni bidhaa gani nitaitoa huko nilete Tanzania.
Karibuni wapendwa
Habari za muda huu wanawake
wenzangu..
Napenda kuchukua nafasi
hii kuwatakia
Heri na furaha ya siku yetu ya leo duniani.
Ujumbe wangu : Tusikubali kukatishwa
tamaa, tujitume kwenye fursa chanya.
Nawapenda[emoji11][emoji11][emoji11]
NB: Kama kuna mtu ana chochote kile cha kutujenga...
Habari za muda huu wapendwa...
Kuna tatizo la sasa la wanawake baada ya kujifungua tu, utakuta mtu anafumuka kama anakula amira.
Mwaka jana mwezi wa 1 nilibahatika kupata baby boy lakini kwa njia ya operation baada ya kukaa hospitali siku 3 lakini njia iligoma kufunguka nilimshukuru Mungu...
Habari za usiku huu mabibi na mabwana,
Kwa muda mrefu tangu nianze kusoma topic mbalimbali za wenzetu wanaotafuta wachumba/ wapenzi hivi wapo members waliofahamiana JF wakawa wapenzi hatimaye wakafunga ndoa? Au ndo mwendo tu wakutest mitambo tu basi hebu wajuzi wa hayo mambo njooni mtiririke.
Habari zenu jamani
Nimeamka zangu niende toilet maana mkojo umebana kichizi, na mara paap naona mnara wa mpenzi wangu umesimama kama nyoka cobra. Na si mara ya kwanza hii, hivi hii ni sawa au kuna tatizo
Anahitajika kijana wa kiume aliyesomea admistration ngazi ya diploma azibe nafasi ya office administrative awe experience na alichosoma kwa mawasiliano nicheck Pm interview ni kesho saa 4 asubuhi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari zenu wakuu humu ndani,
Kutokana na ugumu wa maisha na ukosefu wa ajira nimeamua kuuza simu yangu iPhone 5s nimetumia mwezi 1 tu. Bei ni shs.650,000/=.
Habar zenu wakuu humu ndani...Kutokana na ugumu wa maisha na ukosefu ajira nmeamua kuuza simu yangu ambayo nmetumia mwezi tu ili nipate mtaji wa kuanza biashara.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.