Nana umri wamiaka 24 sasa. Tangu nipo kidato cha nne mwaka 2010 nilianza kupiga punyeto. Kiukweli imeniathiri sana. Ninae mpenzi but nashukuru mungu ninamridhisha vizuri tu. Lakini mm nikitoka hapo naingia bafuni kukamilisha starehe yangu kwa kupiga punyeto.
Naombeni ushauri wadau nifanyaje...
Siku moja pitapita zangu kitaa cha Dodoma town niliitwa chemba na binti mmoja ambaye alijitambulisha anasoma CBE.
Alifunguka kuwa ananipenda sana na alikuwa akinitafuta mda mrefu sana. Dahhh nilishindwa chakumwambia akachukua namba zangu so kila time ananisumbua.
Nimjibu vipi jamani?
Nasikia kwenye mitandao yakijamii ningumu kupata mpenzi. Coz wengi huwa waongo sana.
Kwaupande wangu naamini wapo wanaopenda kweli. Niliwahi kupata girl kwenye mtandao wa palmchart na nilidumu nae hadi sasa ni mwaka watatu. Na aliniacha kwa uzembe na tamaa zangu. But naamini humu mpo...
Siri ya kudumu katika mahusiano ya ndoa
Zipo changamoto ambazo zinazosababisha ndoa nyingi kufa. Hata hivyo kufa kwa ndoa hizo husababishwa na vitu vidogovidogo ambavyo watu wengi wamekuwa hawavitilii maanani. Hata hivyo siku ya leo nimeona ni vyema nikujuze siri ya kudumu katika mahusiano...
Natafuta kazi.
Nina elimu ya Diploma (stashahada) ya kilimo na mifugo (agriculture general).
Ninaumri wa miaka 23.
Nipo karatu mkoa wa arusha.
Kazi kwenye mashamba. Makampuni ya kununua nafaka.
Kwenye maduka ya pembejeo na mengine mengi sana..
Namba zangu ni
0753625191
Au
0623983736
Natafuta kazi inayohusiana na nasuala ya kilimo na mifugo.
Ninayo Elimu ya (stashahada)diploma in general agriculture.
Jinsia yangu yakiume
Ninaumri wa miaka 23.
Kwasasa napatikana dar es salam
Kwa mawasiliano number
0625723591
0753625191
Natafuta kazi inayohusiana na masuala ya kilimo na ufugaji.
Maduka ya pembejeo au makampuni ya kilimo na ufugaji.
Elimu yangu ni diploma.
Stashahada ya general agriculture
Ninaumri wa miaka 23.
Uaminifu na uchapakazi ndiyo nguzo yangu
Mawasiliano yangu ni
0625723591 au
0753625191
Natafuta kazi inahusiana na masuala ya kilimo na ufugaji. Kwenge mashamba au maduka ya pembejeo.
Ninayo elimu ya diploma(stashahada) in General agriculture.
Nina umri wamiaka 23
Uwajibikaji na uaminifu ndio msimamo wangu..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.