Search results

  1. jussine

    Naomba ushauri. Ntaachaje kupiga punyeto.?

    Nana umri wamiaka 24 sasa. Tangu nipo kidato cha nne mwaka 2010 nilianza kupiga punyeto. Kiukweli imeniathiri sana. Ninae mpenzi but nashukuru mungu ninamridhisha vizuri tu. Lakini mm nikitoka hapo naingia bafuni kukamilisha starehe yangu kwa kupiga punyeto. Naombeni ushauri wadau nifanyaje...
  2. jussine

    Tunaprint t-shirt

    Tupo dodoma. Mawasiliano ni 0757877963 0718877410
  3. jussine

    Msichana kaniona mara moja tu kanitongoza. Hivi ni umalaya au uhuru wa kuongea?

    Siku moja pitapita zangu kitaa cha Dodoma town niliitwa chemba na binti mmoja ambaye alijitambulisha anasoma CBE. Alifunguka kuwa ananipenda sana na alikuwa akinitafuta mda mrefu sana. Dahhh nilishindwa chakumwambia akachukua namba zangu so kila time ananisumbua. Nimjibu vipi jamani?
  4. jussine

    Kibamia

  5. jussine

    Nikweli humu JF unaweza pata mpenzi wadhati.?

    Nasikia kwenye mitandao yakijamii ningumu kupata mpenzi. Coz wengi huwa waongo sana. Kwaupande wangu naamini wapo wanaopenda kweli. Niliwahi kupata girl kwenye mtandao wa palmchart na nilidumu nae hadi sasa ni mwaka watatu. Na aliniacha kwa uzembe na tamaa zangu. But naamini humu mpo...
  6. jussine

    Jinsi yakuishi kwenye mapenzi kwa furaha

    Siri ya kudumu katika mahusiano ya ndoa Zipo changamoto ambazo zinazosababisha ndoa nyingi kufa. Hata hivyo kufa kwa ndoa hizo husababishwa na vitu vidogovidogo ambavyo watu wengi wamekuwa hawavitilii maanani. Hata hivyo siku ya leo nimeona ni vyema nikujuze siri ya kudumu katika mahusiano...
  7. jussine

    Kwa wenye ufaham na cozi ya GEO-INFRMATION

    Naombeni msaada wadau kuhusu coz ya Geo-information inahusiana na nn pia ajira zake zinakuaje.?
  8. jussine

    Natafuta kazi, Nina elimu ya Diploma (stashahada) ya kilimo na mifugo (agriculture general)

    Natafuta kazi. Nina elimu ya Diploma (stashahada) ya kilimo na mifugo (agriculture general). Ninaumri wa miaka 23. Nipo karatu mkoa wa arusha. Kazi kwenye mashamba. Makampuni ya kununua nafaka. Kwenye maduka ya pembejeo na mengine mengi sana.. Namba zangu ni 0753625191 Au 0623983736
  9. jussine

    Natafuta kazi.

    Natafuta kazi inayohusiana na nasuala ya kilimo na mifugo. Ninayo Elimu ya (stashahada)diploma in general agriculture. Jinsia yangu yakiume Ninaumri wa miaka 23. Kwasasa napatikana dar es salam Kwa mawasiliano number 0625723591 0753625191
  10. jussine

    Natafuta kazi

    Natafuta kazi inayohusiana na masuala ya kilimo na ufugaji. Maduka ya pembejeo au makampuni ya kilimo na ufugaji. Elimu yangu ni diploma. Stashahada ya general agriculture Ninaumri wa miaka 23. Uaminifu na uchapakazi ndiyo nguzo yangu Mawasiliano yangu ni 0625723591 au 0753625191
  11. jussine

    Natafuta kazi

    Natafuta kazi inahusiana na masuala ya kilimo na ufugaji. Kwenge mashamba au maduka ya pembejeo. Ninayo elimu ya diploma(stashahada) in General agriculture. Nina umri wamiaka 23 Uwajibikaji na uaminifu ndio msimamo wangu..
Back
Top Bottom