Husika kichwa cha habari kwa wazee wa movie na series.
Luna site ambazo inaitwa fmovies.net nilikuwa naitumia kudownload movie na series naona sasa haifanyi kazi now. Naomba msaada wa site ambazo wadau mnazozijua na ambazo ni kudownload pasipo torrent na kwa kutumia simu
Karibuni
Habari wakuu poleni na majuu ya msaka tonge
Kuna kitu bado najiuliza juu ya Mh Tundu Lisu. Anapiga ngoma na chama tawala kinacheza hatima yake nini ........?
Ni style nzuri ya siasa kiukweli siyo mwoga juu ya kuichokonoa serikali na kuifanya serikali na watu wake kuumiza vichwa...
Je hajui...
Nimechokwa na kila kosa kukutana na neno BASHITE.
Ukweli dunia na Tanzania hawapendi MTU afanyae mambo mazuri na yenye kuleta tija katika vizazi vijavyo.
Kuna mantiki gani kumwona Makonda Leo ni mbaya na kushabikia ujinga kwa watu wanaompiga na kumfanya avunjike moja moja...
Makonda be...
Habari wana JF, mtaani imekuwa na uhaba wa madawa ya kulevya na kupelekea nateja kuhaha na kukosa msaada kwa Arosto.
Hongera kwa makonda kwa kupambana na kufanya madawa ya kulevya kupotea mtaani maaan kwa mwendo huu mateja wote watakimbilia Sober kupata msaada na kupelekea kupungua kwa watuaji...
Uchawii sio kushika Tunguli tu na kwenda kuwangaaa....[emoji250]
Kukaa online bila hata salam nayo ni UCHAWII[emoji35]
Kusoma msg za watu wanavyochat na Profile nao ni UCHAWII[emoji51]
Kukenua mpka jino la mwsho kwa msg za kuchekesh na uc comment nao ni UCHAWII[emoji57][emoji57]
Kujaza wingi...
Harmo rapa nimechoka na kiki za kijinga athibishe kuwe yeye rapa mkali aache kiki go to hell Harmo rapa.
Kila mtandao ukiingia harmo rapa kafanya hivi. Afu hana hata hit song au sikuhizi na wapiga kiki nao ni marapa na ni nitakuwa rapa
NB: WENYE WIMBO WA HARMO RAPA TUJUDGE KAMA YEYE NI RAPA AU...
Habari wanajamvi hii sasa ni kama kero kila nikiwasha radio nikiweka clouds mapenzi mubashara mapenz mubashara. Sasa kama ni kutuharibia watoto wanania kwelikweli.
Nimeaamua sasa sisikilizi nikiwa na watoto au nikiwa na wazazi yaaaani likianza kama upo na wakwe au wazazi unatamani Tanesco...
Wana jf wenzangu kuna kitu huwakinanifanya nakosa ujasili na kuhisikia vibaya sana ninapoona mwanaume unapiga magoti kwa mwanamke. Kuna nyanja nyingi ambazo nimeshuhudia vitendo kama hivyo mwanaume kumpigia magoti mwanamke kama
Kwenye event za kuvishwa Pete za uchumba
Mwanaume kuomba msamaha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.