Search results

  1. TONGONI

    Natafuta Mbuzi bora wa Nyama Madume aina ya Savanna na Boar hapa Tanzania

    Wasiliana na hawa jamaa Jovakimz farm 0752 831 230 pia jiridhishe kwa kupitia page yao Instagram unaweza kupata kilicho bora
  2. TONGONI

    Natafuta Mbuzi bora wa Nyama Madume aina ya Savanna na Boar hapa Tanzania

    Maelezo kamili juu ya upatikanaji wa mbuzi aina ya boer 👇
  3. TONGONI

    Ni jinsi gani Hezbollah iliweza kushinda vita dhidi ya Israel? (2006)

    Issue sio kuchukia au kupenda hawa jamaa wanapigania ardhi yao,ndio chanzo cha kujitoa wakijua wanapambana na taifa lenye nguvu na kiasi kikubwa wamerudisha ardhi yao.
  4. TONGONI

    Ni jinsi gani Hezbollah iliweza kushinda vita dhidi ya Israel? (2006)

    Baadhi ya nyakati Israel wanalazimika kubadishana mateka kwa maiti.
  5. TONGONI

    Ni jinsi gani Hezbollah iliweza kushinda vita dhidi ya Israel? (2006)

    Lebanon imegawanyika sehemu mbili west almost ni waislam north ni wakristo,ikumbukwe mpaka mwanzoni mwa miaka ya 90 ndio Lebanon ilianza kutulia baada ya miaka mingi ya civil war,upande wa South ndio mpakani na Israel ambako ardhi kubwa ilitwaliwa na Israel,kwa kuwa Lebanon hawana jeshi la...
  6. TONGONI

    Ni jinsi gani Hezbollah iliweza kushinda vita dhidi ya Israel? (2006)

    Kwanza sijaelewa unauliza au unanbishana? Chukua mambo mawili,kuna mwaka Israel walipiga kambi ya UN kuishi mwa Lebanon, tukio ambalo siwezi kusahau sijawahi kuona msoma habari anashindwa kusoma na kuanza kulia picha zilikuwa zakutisha,tukio hili ndio lilikuwa sababu ya katibu mkuu wa UN wakati...
  7. TONGONI

    Ni jinsi gani Hezbollah iliweza kushinda vita dhidi ya Israel? (2006)

    Kuna siku nilifika maeneo ya South Lebanon kwenye eneo linalolindwa na Hezbollah,jamaa wanatisha.
  8. TONGONI

    Aliyekuwa Mbunge wa Arumeru Mashariki, Joshua Nassari na Willy Qulwi Qambalo wa Karatu wajiunga CCM na kupokelewa na Mwenyekiti wa UVCCM Taifa

    Wanasiasa wengi wanatuaminisha wasicho amini,wamegeuka wachu'uzi wanatazama nini kinalipa sokon,kama uliathirika kwa namna yeyote kwa imani yako juu ya Nassari pole sana.
  9. TONGONI

    Mwongozo wa ufugaji wa kisasa wa Mbuzi wa nyama na maziwa

    Hongera sana mkuu kwa chaguo lako,ufugaji wa mbuzi hauna changamoto ukilinganisha na ufugaji mwengine. Changamoto ni chache kama ukiwa na mtaalamu wa mifuga,ila kuna jambo la msingi ni malisho na maji safi wafugaji wengi wanalisha kwa mazoea,jitahidi kupanda majani na kuhifadhi aina ya Napier...
  10. TONGONI

    Ufugaji wa Samaki: Pata ushauri, mawazo na michango kuhusu ufugaji samaki. Jifunze changamoto, utaalamu na masoko ya Samaki

    Siku za karibuni nimekuwa nikipitia makala mbalimbali juu ufugaji samaki kibiashara, nitaweka link baadae naamini itakuwa ni msaada mkubwa kwako na wengine.
  11. TONGONI

    Ng'ombe na mbuzi wa kisasa wanapatikana

    Samahani mkuu hilo group limeanzishwa wapi,niko serious na hii issue,then nimeona kwa South Africa wapo expoters http://patriotboergoats.co.za/boer-goat-exports/
  12. TONGONI

    Ng'ombe na mbuzi wa kisasa wanapatikana

    Ukisikiliza kwa makini dakika ya 4:35 anasema alinunua madume mawili ya mbegu moja ni boer kwa msaada wa bwana mifugo kaitaja hiyo wilaya kwa 800.000 pesa za uganda,na mbegu ya savannah amenunua Kenya...alichofanya yeye nikuchanganya na local breed wanaita mubende
  13. TONGONI

    Ng'ombe na mbuzi wa kisasa wanapatikana

    Nimejaribu kufuatilia hii issue ya mbegu bora,ukweli waTanzanja bado tuko nyuma sana,wa-Uganga na wa-Kenya wako mbail,nchi jirani hizi mbegu wamezichangamkia na sio mamilioni kama tunavyotishana hapa,hizi clips zitato mwanga kidogo.
  14. TONGONI

    Ulimwengu wa FTA Satellite TVs

    Satbeams - World Of Satellites at your fingertips Tumia hiyo link itakusaidia kujua eneo lako unaweza kupata satellite gani na dish liwe size ipi.
  15. TONGONI

    Ulimwengu wa FTA Satellite TVs

    Jaribu kutazama namna ulivyo search channels,sababu kuna option ya FTA/All channels/Radio...hapo select FTA channels.
  16. TONGONI

    Taja jina la shule ya msingi uliyosoma enzi hizoo

    Namba moja darasani au kipa wa shule?
  17. TONGONI

    Tusahau mradi wa bomba la mafuta si mara ya kwanza kwa Museveni

    Nyway naona hukujibu kiume siwezi kukuhukumu sababu sijui jinsia yako,na pia hapa si sehemu ya mipasho kwa ninavyoamini.Tunabadilishana mawazo na kuelimishana,mimi si mtu wa kubagua au kujikweza,siwezi kukunyooshea kidole sababu ya kabila,dini,au asili yako "unatoka mkoa gani" hapana.
  18. TONGONI

    Tusahau mradi wa bomba la mafuta si mara ya kwanza kwa Museveni

    Kwa upeo wako unahisi tungefanya nini?
Back
Top Bottom