Dah mie nimesoma kaengesa seminary ipo rukwa...tulipokuwa form two tulitesa sanaa form 1 aka njuka, mfollow,mnyama..hehehe sasa siku moja piga sanaa stiki form one hiyo inaitwa kata mkia huwa inafanyika trh tisa mwezi wa tisa saa tisa usiku....bwana wee ilizua tafrani maana kesi ilifika mpaka...
Yaani mie bongoland inaniacha hoi bin taabani, mtu akitoka kwa madaraka ndo utasikia eti viongozi walioko madarakani wanatumia vibaya madaraka yao..
Yeye alitumiaje?..mbona hasemi pato lake kwa mwezi lilikuwa kiasi gani na hayo majumba aliyonayo kayajengaje?.....siasa za bongo majitaka...
Wakubwa heshima yenu..,
Ninafanya kazi kwa kampuni moja ya kihindi, nipo kwa probation period of three months, leo asubuhi nimetoa resignation ya 24 hours lakini mwajiri kaniambia nilipe mshahara wa mwezi mmoja je Sheria ya kazi inasemaje?
Nimejaribu kupitia sheria ya kazi ya mwaka 2004...
1. Dear, kodi ya pango inaisha January 2012 na mwenye nyumba ameongeza kodi. I love you much!'
2. Baby, xmas itakuwaje nataka nikafanye shopping Mariedo. Na nataka kwenda kusuka mwenge, naomba TShs 1,000,000. Xoxo.'
3. Mpenzi, sasa Kova utamdanganya vipi kuhusu ile safari yetu ya Zanzibar on new...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.