Kuna baadhi ya simu mbovu ukipunguza mwanga kioo kinazima, hivyo tumia hisia cheza nayo sehemu ya kuongezea mwanga uwe kama unaiongeza huenda ikawaka tena.
Basi sawa ila ni zamu ya mama kupumzika. Tunahitaji kiongozi atayesimamia kile anachokiamini siyo hawa wakuongeza namba tu kwenye kodi na kuamini usimamizi wa ma DP world.
Haya ndo madhara ya kupewa tuzo eti ya member bora jukwaa la michezo. Sasa umekwa mtu wa kusifia tu ata pasipostahili.
Namimi nakuambia kwa Al ahly hii, Yanga anakufa nje ndani.
Ni kweli Biteko hana ushawishi wowote ila ata upinzani wa kweli nao hatuna. Nchi inachezewa nyie mpo busy tu kupiga porojo mnazidiwa ata na yule Mwanasheria aliyeamua kuishitaki Serikali.
Yaani nyie mpo mpo tu mnasubiri uchaguzi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.