Wakati mwingine huwa nawaza,kama ccm wanao ratibu mchakato wa katiba,wakachezea mmchakato tena,haki ya wanannchi kupata viongozi kupitia uchaguzi si ndio basi?
Tumeshuhudia kususia kwa chadema mara nyingi,na ccm wakiendelea tu.
Tuwafikirie wataanzania kwanza.
Tutumie mifano ya Zambia.
Hapa nishati pana shida.
Tatizo likiibuliwa na wananchi linakanushwa vikali na wanaojifanya kutokuona shida zilizopo.
Rejea uhaba wa mafuta,baada ya siku bei ikapanda.
Umeme kukosekana,baada ya siku mgao.
Hizi nyufa nazo nazipa siku.
Hujasikia viongozi wa dini wanasemaje?
Wengi hawana hofu ya wananchi,wanajua hata tusipowachagua watakuwa wabunge.
Ndio waliopiga makofi.
Na zaidi wakamjadiri mtu badala ya kilichokuwa mbele yao.
Shida nyingine ni spika,alitaka kila wazo liendane na yeye anavyotaka,na anafikiri ni sawa.
Tunashida.
Inawezekana kuwa ni mawazo ya walimu,ingawa pia watu siku hizi wanalishwa ujumbe.
Na zaidi kundi la walimu lilivyo na shida ukiondoa heshima tu kwa rais nafikiri hawangeshiriki kabisa.
Salaamu wakuu,
Nina imani TBC ni shirika lenye lengo la kuuhabarisha umma mambo mbalimbali yahusuyo uchumi,siasa na jamii.
Ndio, Sasa kwa Nini Hadi Karne hii bado Kuna sehemu TBC hii hii matangazo yake hayafiki baadhi ya maeneo nchi hii? Na Kama yapo yanaweza kukata mwezi na zaidi.
Sasa lengo...
Jipu la jirani linapokukera,lini ccm watajenga nchi bila kukumbuka timbwili za upinzani?
Jenga uchumi imara,miundombinu ya usafiri, afya, elimu, maji na kuwe na usalama wa watu kutoa maoni....
Uone huo upinzani utaanzaje kuwatisha.
Kwa hali hii hata mwana CCM akivaa nguo yenye rangi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.