Kwa maneno yake JM aliwahi kusema kwamba kuna kipindi mzee Nauye alimusemea kwa hayati Nyerere kuhusu kuiba Ng'ombe waliondaliwa kwa ajiri ya chama.
anasema mzee makamba akafukuzwa na akarudi zake kijijini bumbuli lakini alipopata nafasi ya kujitetea baada yua kuitwa kwenye mkutano, anasema mzee...
waamini wahandisi wenu wa umeme na mitambo ili siku za usoni wawe na uwezo wa kujenga miundo mbinu ya umeme tuache hii kasumba ya kuachia wageni wajenge halafu tuwe wasiamamizi
pole mkuu binafsi nashindwa kuelewa namna gani hyo sumu idhuru eneo moja tu,
maana acid ni chungu ingejulikana tangu kwenye kinywa, lkn mathala yapo kooni tu na syo tumboni,
hili linaweza kuwa fumbo
mkuu naandika haya nikiwa nabubujikwa na machozi, kwanza nianze kwa kumtukuza Mungu kwa uumbaji wako, niseme kwamba Mungu hakeagi kila jambo linatendeka kwa waja wake lina maana yake, naamini kwamba Mungu bado anakuhitaji kuwa mtumishi wake endelea kumutukuza kuna siku utajua ni kwa nn haya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.