Tunatafuta mtu wa kufanya kazi za logistics za magari mwenye elimu kuanzia kidato cha nne awe na umri zaid ya 25 years,awe anaweza kuishi sumbawanga mshaharaha laki 3,Awe anajua computer.cv atume chriss@equpointproperty.co.tz
Natafuta mtu wa marketing mwenye uzoefu kwenye transportation sector pia ambaye ana uzoefi na maswala ya sells.
Awe mwenye elimu kuanzia diploma,umri chini ya miaka 30 anayejua computer system kama atakuwa kafanya kazi kampuni za tracking kwenye sells will be advantage.
contact...
tunahitaji IT sells mwenye uzoefu katika transportation sectors,product zetu ni gps tracking,fuel tracking,asset management.kama ushafanya kazi kwenye tracking companies au una convinsing power for selling pls apply chriss@equpointproperty.co.tz au contact 0652715232
katika analysis za kisiasa imethibitika kuwa lowasa ni gogo la ubani ukilichoma ndio linazidi kunukia ccm wanavyomsema lowasa ndio watu wanavyozidi kumpenda
Wadau mimi sina kundi na ni mwanachama wa chama cha demokrasia na maendeleo,najiuliza hivi
1.ikitokea majina ya ccm kutokatwa na yote kupelekwa mkutano mkuu nani ataibuka mshindi?
2.then wale wanaoshabikia mmoja akatwe je wanaogopa ushindani?
najaribu kupata picha ya demokrasia pia na...
Wakati joto la uchujaji wa majina ya wagombea urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) likizidi kuongezeka, taarifa zimezidi kuzagaa mitaani na kwenye mitandao ya kijamii kwamba, mikakati ya kumuondoa Edward Lowassa kwenye orodha ya watia nia nayo imezidi kupamba moto.
Kwa muda sasa NIPASHE...
Anatafutwa mtu wa marketing awe na sifa zifuatazo
umri miaka 30 kuendelea
experience
awe mzoefu au awe anafanya kazi katika maswala ya masoko yahusuyo
car tracking
awe na good communication skill
salary will based on commission after sell
contact:info@equpointproperty.co.tz
Natafuta mtu anayejua marketing nitamlipa 500,000/= per month awe anajua marketing katika IT solution.atume CV info@equpointproperty.co.tz.our company we sale IT solution to transporters and construction companies.mobile +255754096026
Anahitajika fundi umeme wa magari.awe na uzoefu wa kutosha
Sifa:
Awe amemaliza kidato cha nne au veta
Awe na umri chini ya miaka 35
Awe anajua vizuri computer
Wasiliana na simu 0759689095;0652715232 email info@equpointproperty.co.tz
wakuu nina machine zote X ray,ultra sound,microscope,za kupima kansa,kupima moyo,vitanda vya surgery,kupima ubongo,kuzalisha,hospita uniform vyote ni from uk etc natafuta mteja +255652715232.
My company is located in Tanzania Dar es salaam,am looking for young energetic marketing officer to work with.He/she has to know computer also has to be creative and high convincing.send your CV to chriss@equpointproperty.co.tz
Nina Tafuta mzoefu wa kujaza Tender Documents za taasisi za serikali,awe ameajiriwa/mstaafu nitamilipa per document. Itakuwa kama part time kwake.
Mawasiliano yangu ni:
+255652715232
(chriss@equpointproperty.co.tz)
Na Fadhy Mtanga
Jumanne, Disemba 10, 2013
Kwa Graça Machel na familia ya Mandela; kwa Rais Zuma na wajumbe wengine wa serikali; kwa wakuu wa nchi na serikali, waliopita na waliopo sasa, wageni wengine waalikwa ni heshima ya kipekee mno kuwa nanyi leo, kusherehekea maisha yasiyo na kifani. Kwa...
Wakuu kuna acre 3 nimekabidhiwa mbezi beach kwa wanaojenga apartment au hospital au kumbi za sherehe au parking.
kwa mwenye mteja anicheki 0652715232 au info@equpointproperty.co.tz
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.