Wakati najaribu kupitia pitia mitandaoni namna ya kufanya photo screen painting kuna kifaa nilikimiss au kukikosa kabisa pengine ni kwa sababu ya ugeni katika hii Sanaaa. Kitu chenyewe kinaitwa DIAZO POWDER kwa anaefahamu upatikanaji wake hapa Tanzania naomba anielekeze pamoja na bei zake sokoni...
Nani anapenda kuonyesha mapungufu?
Tanzania ni nchi ambayo watu wake wamejengwa kwa hofu kuu , Hofu ya kushindwa kuifananisha Leo na kesho , Hofu ya kuhoji maswali tata yenye mustakabali mzuri Wa kizazi kijacho.
Ni Hofu hio inayowafanya wengi washindwe kufikia malengo waliyojiwekea ..Mwisho...
Miongoni mwa nyimbo ambazo hua zinaniamsha pale napohisi kukata tamaa:
1.Darasa-weka ngoma
2.Eminem ft Nate dog- till I collapse
3.Damian Marley ft nas escober- Strong will continue
4.The game-money
5.Eminem-lose yourself
Ruksa kuongeza ya kwako
Hekaya za Abunuasi na kisa cha Nape Nnauye
Nalazimika kurudia kusimulia kisa nilichopata kusimulia yapata mwaka sasa umepita. Naam ni stori fupi ya Abunuasi.
Alipata kutokea bwana mmoja mwenye visa visivyovumilika kwa jina Abunuasi.,Sasa siku moja Abunuasi alijipa shauri kwenda msituni kukata...
Sasa atakua anaelewa kwanini kila anapoomba aombewe hakuna anaemtilia maanani. Ni watu wenye wingi wa unafiki pekee na upofu wa fikra waliomuelewa.Kila goti lenye haki na ubinadamu limepigwa kwa ajili ya Tundu Lissu.
Tundu Lissu hajaomba kuombewa, Tundu Lissu hajakimbilia madhabahuni kuwekewa...
Jamani wale wataalamu wa ku design mabango,stika za kwenye magari naombeni ujuzi kidogo ikiwemo vifaa navyotakiwa kuwa navyo na hata gharama halisi za vifaa hivyo!. natanguliza shukurani
Msaada kwenye tuta tafadhali: Simu yangu ni blackberry curve 9300 imefungiwa Whatsapp sasa nawezaje kuipata app ya whatsapp itakayoendana na uwezo wa simu yangu
Maisha ya jana na leo yanatofautiana tarehe tu
Tunalazimika kuandika mengi kuhusu serikali hasa yale ya kuikosoa kwa kiwango kikubwa serikali. Sio kwamba mazuri yanayofanywa na serikali hayapo,La hasha yapo na ni mengi. Hatukosoi kwa kutaka kupata political popularity na hatunufaiki wala...
Mwanasiasa wa Gambia alieshindwa kwenye uchaguzi mkuu Yahya Jammeh amegoma kuachia madaraka na amesema ni Allah (Mungu) Pekee anaeweza kumtoa.Sasa kama alijua kua ni Mungu pekee ndo anaweza kumtoa madarakani kawanini Aitishe uchaguzi mkuu uliogharimu kodi nyingi sana za walalahoi wa Gambia...
Wale wataalamu wa mambo ya kidini awe Muislam au Mkristo au hata Mhindu naomba kueleweshwa kuhusu Peponi na Jehanamu.
Imekua kawaida ya binadamu kujizungumzia yeye mwenyewe kwamba ndio ataenda peponi au Jehanamu lakini tukirudi katika vitabu vya dini tunaambiwa Mungu alituumba sisi pamoja na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.