Habari zenu wananzengo,
Leo nimetafakari sana, hivi kwanini zamani tulikuwa tunashuhudia mikutano ya Injili na viwete wakitembea, vipofu wakiona sawa sawa na neno la Mungu maana hata Yesu alifanya hivyo?
Kwanini leo watumishi na Makanisa ni mengi sana lakini hatuyaoni haya?
Karibuni.
Hivi hawa wa vituo vya watoto yatima kwann wasipite mitaani kuokota wale wengine yatima haswa sio hawa wa perfume na chips chombeza ...Mtaani kuna yatima jamani wanalala kwenye madalaja na stand za madaladala
Habari za mapambano ya maisha,
Naomba msaada mwenye mfanobwa proposal yoyote ya kilimo naomba anisaidie...naandaa mpango wa kilimo wa Vitunguu maji.
Naomba msaada wenu niwekee hapa Pdf au DOC
Uzi huu mfupi tu lakini naomba tuutafakari sana. Nini future ya maisha yetu sisi Vijana kwa ugumu huu wa maisha na kukosa kazi huku? Maisha yamekuwa magumu sana jamani kama vijana nini tufanye?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.