kama ilivyo hali halisi inavyojionyesha nchini tanzania katiba ni ya ccm watawala ni ccm wateuliwa wote ni ccm sasa serikali inaposema uchaguzi huru hamuoni kabisa ni kudanganyana .
nianze kwa kusema kuwa mwenyekiti wa tume ya uchaguzi ni mwanaccm kindakindaki na hata uteuzi wake unajulikana...
Ni aibu kwa watu tunaowahisi kila Mara hawaishi kwenda misikitini na makanisa tofauti tofauti kusali ila hawataki kulipa stahiki za tl za kisheria kabisa sasa sijui ni mungu yupi atakae sikiliza maombi yao ,au ni unafki tu kutuzuga na bado aibu wanayo na vipara vitaongezeka sana kwa laana...
Ni muda sasa tumekuwa tukisubiri maeneo yetu yafikiwe na miundo mbinu sahihi kama vile maeneo kupimwa Barabara nk lakini malengo ya upimaji yako palepale ila utekelezaji ndio mwendo wa Kobe,
Sehemu kama Nzuguni kwa Manispaa ya Dodoma ni sehemu kubwa majengo makubwa lakini hayana hati hivyo...
Ruzuku imeisha ofisi haikaliki vijana wa lipumba hapa buguruni wanashindia mihogo lipumba atakimbia mwenyewe kwa sssa analishwa na pesa haram za sakaya anazopata bungeni wakati sio mbunge tena sema bunge lambeba
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.